Wahubiri Wengi Kutokea Mkoa Wa Mbeya!!

Wahubiri Wengi Kutokea Mkoa Wa Mbeya!!

chakii

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2013
Posts
21,369
Reaction score
27,781
Habari wana-Jf!!

Kuna hili suala kama linavyosomeka katika thread hapo Juu,.


Nimekuwa nikijiuliza mara nyingi bila kupata majibu maana asilimia 80% ya wahubiri ambao nimewahi kukutana nao shuleni, vyuoni na hata katika maisha ya kawaida wengi wao ni wenyeji wa mkoa wa Mbeya!

Wakati mwingine nafikia kusema mkoa wa Mbeya umebarikiwa kutoa wahubiri wa neno la Mungu kwa kiasi kikubwa ukilinganisha na mikoa mingine na wengi wao ni walokole na madhehebu mengine ya Kikristo.

Wakuu tuambiane na mkoa wako mmejaliwa kitu gani cha kipekee kama ilivyo kwa Mkoa wa Mbeya kujaliwa wahubiri wa neno la Mungu?

NB: Mimi siyo mwenyeji wa mkoa Mbeya!
Nawasilisha,...
 
Habari wana-Jf!!

Kuna hili suala kama linavyosomeka katika thread hapo Juu,.


Nimekuwa nikijiuliza mara nyingi bila kupata majibu maana asilimia 80% ya wahubiri ambao nimewahi kukutana nao shuleni, vyuoni na hata katika maisha ya kawaida wengi wao ni wenyeji wa mkoa wa Mbeya!

Wakati mwingine nafikia kusema mkoa wa Mbeya umebarikiwa kutoa wahubiri wa neno la Mungu kwa kiasi kikubwa ukilinganisha na mikoa mingine na wengi wao ni walokole na madhehebu mengine ya Kikristo.

Wakuu tuambiane na mkoa wako mmejaliwa kitu gani cha kipekee kama ilivyo kwa Mkoa wa Mbeya kujaliwa wahubiri wa neno la Mungu?

NB: Mimi siyo mwenyeji wa mkoa Mbeya!
Nawasilisha,...

Asante mkuu kwa kuliona ilo,ila si ilo peke yake bali kuna mchele wa mbeya, maharage viazi na hivyo vimebarikiwa kuwepo ktk mkoa huo huo
 
mkoa wa mbeya kuna makanisa mengi sana alafu pia kuna wachawi wengi karibu kila kaya kuna mchawi.
 
wanawake wa mbeya maji mara moja,yani we shika mkono kajichapie utasikia"nilalage mwenyewe nionekanage mi malayah!nipigage ngwala yoh" dah!akishika mfyulisi we unashusha nusu mlingoti
 
Ndo dini ilikoanzia ... chakii songea hujaona makanisa?
 
Last edited by a moderator:
Katika Mkoa wangu..... mmh! kwa kweli tumebarikiwa hata kwetu wapo
 
Mwakasege Mwaitege Mwasabwite, Mwaipaja, Mwabukusi, Mwakyoma, Mwasote, Mwansasu, Mwisapile, Mwandosya, Mwakyembe Bukuku, Mwakaleli ........
 
Mwakasege Mwaitege Mwasabwite, Mwaipaja, Mwabukusi, Mwakyoma, Mwasote, Mwansasu, Mwisapile, Mwandosya, Mwakyembe Bukuku, Mwakaleli ........

MWALYOYO,MWAMPASHI,MWALUKO,MWANDWELO,MWAKYAMBIKI,MWAIPOPO,MWAPAPUCHI,MWAFILIFILI,MWASANGA,....nakuja kuendelea
 
Wakitaka kitu ukiwambia waunde kikundi utakuta wote ni walokole
 
Habari wana-Jf!!

Kuna hili suala kama linavyosomeka katika thread hapo Juu,.


Nimekuwa nikijiuliza mara nyingi bila kupata majibu maana asilimia 80% ya wahubiri ambao nimewahi kukutana nao shuleni, vyuoni na hata katika maisha ya kawaida wengi wao ni wenyeji wa mkoa wa Mbeya!

Wakati mwingine nafikia kusema mkoa wa Mbeya umebarikiwa kutoa wahubiri wa neno la Mungu kwa kiasi kikubwa ukilinganisha na mikoa mingine na wengi wao ni walokole na madhehebu mengine ya Kikristo.

Wakuu tuambiane na mkoa wako mmejaliwa kitu gani cha kipekee kama ilivyo kwa Mkoa wa Mbeya kujaliwa wahubiri wa neno la Mungu?

NB: Mimi siyo mwenyeji wa mkoa Mbeya!
Nawasilisha,...
Kuhubiri sio kufundisha na uwingi wa wahubiri sio kuwepo kwa IMANI. Pamoja na kwamba kuna wahubiri wengi MBEYA ina idadi kubwa sana ya matukio ya uhalifu kwa mfano mauaji yanayotokana na imani za kishirikina, ubakaji unaofanywa na wachungaji na uhalifu mwingine wa kutisha. Kila siku kwenye mahabusu za Mbeya lazima kuna mchungaji au mzee wa kanisa anayetuhumiwa kwa makosa ambayo hata si ya kiimani kama vile utapeli. Jiulize, kama ni kuhubiri neno la Mungu kwa nini akina Lusekelo wanahubiri mijini tu hususan Dar es salaam?
 
Back
Top Bottom