chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 21,369
- 27,781
Habari wana-Jf!!
Kuna hili suala kama linavyosomeka katika thread hapo Juu,.
Nimekuwa nikijiuliza mara nyingi bila kupata majibu maana asilimia 80% ya wahubiri ambao nimewahi kukutana nao shuleni, vyuoni na hata katika maisha ya kawaida wengi wao ni wenyeji wa mkoa wa Mbeya!
Wakati mwingine nafikia kusema mkoa wa Mbeya umebarikiwa kutoa wahubiri wa neno la Mungu kwa kiasi kikubwa ukilinganisha na mikoa mingine na wengi wao ni walokole na madhehebu mengine ya Kikristo.
Wakuu tuambiane na mkoa wako mmejaliwa kitu gani cha kipekee kama ilivyo kwa Mkoa wa Mbeya kujaliwa wahubiri wa neno la Mungu?
NB: Mimi siyo mwenyeji wa mkoa Mbeya!
Nawasilisha,...
Kuna hili suala kama linavyosomeka katika thread hapo Juu,.
Nimekuwa nikijiuliza mara nyingi bila kupata majibu maana asilimia 80% ya wahubiri ambao nimewahi kukutana nao shuleni, vyuoni na hata katika maisha ya kawaida wengi wao ni wenyeji wa mkoa wa Mbeya!
Wakati mwingine nafikia kusema mkoa wa Mbeya umebarikiwa kutoa wahubiri wa neno la Mungu kwa kiasi kikubwa ukilinganisha na mikoa mingine na wengi wao ni walokole na madhehebu mengine ya Kikristo.
Wakuu tuambiane na mkoa wako mmejaliwa kitu gani cha kipekee kama ilivyo kwa Mkoa wa Mbeya kujaliwa wahubiri wa neno la Mungu?
NB: Mimi siyo mwenyeji wa mkoa Mbeya!
Nawasilisha,...