Wahitimu wengi wa UDSM mna dharau na kujisikia sana lakini mna Maisha magumu

Hivi mpaka leo kuna mambo ya kutambiana kuhusu vyuo....Yani naona chuo ni sehemu ya kupanua tu akili lakini kiuchumi unatakiwa uwe na akili za ziada sio eti una GPA ya ngapi

Sent using Jamii Forums mobile app
Alipata wapi ujasiri wa kuongea maneno yale kama sio zarau na sio huyu tu wapo wengi tu waliopitia hapo mlimani wana tabia hii ya kuzarau wengine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii imetokea this week kuna shoga yangu mmoja nlisoma nae jangwani girls 2007 mimi sikufanikiwa kuendelea na Advanve mean nilifeli f~4 yeye akaendelea hadi chuo, UDSM

mimi baada ya kumaliza Olevel nikaenda kusomea course fupi fupi tofauti za mashine Opreratots, pale Bandari college nkasomea, Fork lift operator,Richstracker operator, na SSG Operator then baada ya hapo kuna ndugu yangu akaniconect na chuo kimoja kipo South Africa nkaenda kusomea Crane operator, then baada ya hapo nkala shavu kampuni moja ya wazungu hapa tz kama crane operator

Sasa huyu shoga yangu last week akanikuta site moja hivi nlikuwa nashusha heavy equipments, yeye alikuja kama mkaguzi yeye ameajiriwa Goverment, baada ya kuniona akacheka kinafki alafu kilichoniskitisha ni pale aliponiambia kuwa shoga yangu laiti ungesoma usingekuwa unateseka na michuma mda huu

Ikanibidi nicheke kwanza nikajiuliza huyu mtu amepata wapi huo ujasiri maana yeye ana bachelor na mimi nna vyeti vya kawaida tu, lakini hata mshahara wangu sijui kama ananipita maana mimi naoperate Crane ya 90tons (90,000kg)
View attachment 846107

Na basic salary yangu ya kuoperate hii crane ni 2.8 million/month hapo bado overtime na nyongeza nyingine lazima niondoke na 3.0m hadi 3.5m kwa mwezi na nna mkataba wa kudumu kabisa

Sasa huyu shogaangu sijui analipwa sh ngapi hadi kunizarau vile

Sent using Jamii Forums mobile app
Halali akudharau haiwezekani shoga yako mmoja tu tena aliyesomea jangwani awakilishe jamii nzima Iliyosomea UDSM.

Hata Mimi nimekudharau sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuuuh wanawake sijui tukoje. Kwanini mtu usiishi maisha yako bila kinyongo, majigambo wala kujivuna???
Mi kila siku nawaambia watu mafanikio yana njia tofauti wengine zao ndefu na misukosuko wengine zao fupi na hazina tabu.
Mi sioni kama degree au jina la chuo lina determine mafanikio yako mbeleni. Chuo mtu unaenda tu kupanua mawazo na kupata exposure ila linapokuja suala la kazi au ajira Chuo /Vyeti havina role kubwa kihiiivyo.
Kama unamafanikio maishani be humble na ushukuru Mungu hapo alipokuweka kuna walomaliza na first class vyuoni tulikua tunawaogopa ila bado wanasugua benchi kitaa na kuna ambao tuliwaacha kitaa tukaenda Chuo sasa wametusua maisha hadi unaona chuo ulipoteza muda.
Mimi kiukweli maishani na struggle kua bora kuliko nilivyokua jana, kwa kujituma, kujiamini na ku omba Mungu. Ila sio kwa kumuonea wivu mwenzangu.... we will all get there it's only matter of time coz our paths are just different.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuuuh wanawake sijui tukoje. Kwanini mtu usiishi maisha yako bila kinyongo, majigambo wala kujivuna???
Mi kila siku nawaambia watu mafanikio yana njia tofauti wengine zao ndefu na misukosuko wengine zao fupi na hazina tabu.
Mi sioni kama degree au jina la chuo lina determine mafanikio yako mbeleni. Chuo mtu unaenda tu kupanua mawazo na kupata exposure ila linapokuja suala la kazi au ajira Chuo /Vyeti havina role kubwa kihiiivyo.
Kama unamafanikio maishani be humble na ushukuru Mungu hapo alipokuweka kuna walomaliza na first class vyuoni tulikua tunawaogopa ila bado wanasugua benchi kitaa na kuna ambao tuliwaacha kitaa tukaenda Chuo sasa wametusua maisha hadi unaona chuo ulipoteza muda.
Mimi kiukweli maishani na struggle kua bora kuliko nilivyokua jana, kwa kujituma, kujiamini na ku omba Mungu. Ila sio kwa kumuonea wivu mwenzangu.... we will all get there it's only matter of time coz our paths are just different.

Sent using Jamii Forums mobile app
BH
Chuo kina determine maisha yako ndugu.Jack Ma, Bill Gate, Mark Zuckerberg, Steve job, obama.Katafute vyuo walivyosoma ndio uje na huo mtazamo.Degree ya Havard huwezi linganisha na vyuo vya Afrika.
 
Back
Top Bottom