Wahitimu wa Tanzania hamuajiriki

Wahitimu wa Tanzania hamuajiriki

Rene Jr.

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2014
Posts
3,730
Reaction score
2,392
Nilikuwa kwenye ukurasa mmoja tunajadiliana hatua ya bunge la Tanzania kupitisha sera inayotia ugumu kwa waajiri kuajiri watu kutoka nje ya Tanzania. Katika majadiliano baadhi ya waajiri wakawa wanatoa misimamo yao, wengi walionesha kutokuwa na imani na wahitimu wa vyuo kutoka Tanzania. Hakika points wanazosimamia ni za ukweli, wahitimu wengi wanaakisi sura ya mazao duni vyuoni mwetu.
Let's look at some real examples of how badly our youngsters are lacking the skills needed to succeed.

Yesterday I received an email from a young man who has completed his bachelors degree in public relations and marketing at St. Augustine University
of Tanzania.

This is what I got in the subject line and an attached cv. Nothing, absolutely nothing else.

No email of introduction, no covering letter, no salutations.

Now as an employer let me go through my thoughts on this.

1. I run a preschool. What need is there for me to have a public relations and marketing executive? Thereby leading me to think this young man has not bothered to research the companies he is sending out email to, he is merely sending emails to everyone. Do I want such a person in my organization? If there isn't a need and you do a great job in convincing me that there is (the very basics of good marketing), well done! You're good at your job. At least try.

2. As a public relations and marketing executive (I've been one), he shows a lack of basic skills such as communication, marketing (he hasn't done at all a good job in marketing himself), taking initiative, research skills, treating people and companies professionally, approaching people (essential in marketing), customer service and what we would think of as common business sense.

3. With no salutations, letter of introduction etc, my first though is this person is lazy, irresponsible and isn't interested in improving himself. (Thought this may not be the case, his first impression is awful).

I could go on and on. In stark contrast to this, I have received such wonderfully convincing emails and before even opening the cv attachment, 99% of the time I know it is from a Kenyan (generally) or another foreigner and I am usually right.

In some cases where I have received amazing CVs from Tanzanian teachers, I have called them in to find out that either:

1. They have studied abroad and come back to Tanzania or studied in an international school.

2. Someone else has written the cv and covering letter for them and they lack the basic skills, understanding and knowledge that I am looking for.

Do I blame this young man? To a certain extent yes. In today's competitive world, there is no excuses for such things. The Internet is a veritable treasure chest of knowledge and it's easy to access. In some ways though, I do blame the system as it is not equipping our youngsters with extremely basic skills and at the same time is creating a sense of entitlement in them which is making it difficult for them to hold down good jobs. Just IMO.

======================
======================


Tuache kuwabeza wasomi wetu wa kuangalia vitu visivyo na mashiko.

1. Wasomi wa Tanzania wapo vizuri sana katika taaluma zao, tatizo kubwa ni lugha ya malkia.

2. Makampuni mengi hapa TZ wapo watz kibao ambao ndiyo vinara wa operations kubwa katika makampuni hayo. Mfano kampuni za SIMU hapa TZ zinategemea vichwa vya ki Tanzania kuliko hao mnaowahusudu.

3. Sijawahi kusoma ndani ya nchi ya Tanzania, lakini elimu ya Tanzania bado ni nzuri kuliko hata za hao mnaowahusudu.

4. Nimesoma na watu wa mataifa kibao, wengi wao walikuwa watupu, wana copy hadi assignment kutoka kwetu vijana wa Ki Tanzania. Sasa sioni faida ya hicho kiingereza chao kama darasani wao ni majanga

5. Ajira nyingi hapa nchini mmewapa hao majirani zetu ama kwa ulimbukeni ama kutokujua athari za mnachokifanya. Hivi juzi tumeshuhudia car parking ya hapa Tanzania iko managed na wafanyakazi wakenya, then bado mnajiona mna akili timamu.

6. Ma HR kibao kwenye makampuni hapa TZ ni wakenya na waganda na wao wamekuwa wakiwahifadhi na kuwaficha wahamiaji haramu au wale wanaofanya kazi bila work permit, bado mnajiona mmefanya uchaguzi sahihi.


Tuna kila sababu za kuwapongeza wabunge walioibua hii ISSUE kwani imeharibu na itaharibu ma deal kibao yaliyokuwa yakichezwa na hawa washenzi wanaojiita wafanyakazi wenye sifa.

Mwisho ndugu zangu wa Tanzania, tusibweteke. Kama unaweza kujifunza Driving muda wa jioni basi weka na muda mwingine ukasome lugha ya malkia pale British Council au kwingineko. Kujifunza ni sehemu ya maisha yetu.

Msiogope kwa kutojua lugha hiyo vizuri, waoneni wachina majority hawajui hiyo lugha lakini wapo mbali kimaendeleo kwasababu wanajituma na wanajifunza sikuzote.

Umaskini wetu upo mfukoni, SIYO KICHWANI.
 
may alikua yupo internet cafe alikuwa amelipia mda mchache na yeye sio mzuri sana katika matumizi ya computer, so akahofu akiandika na maelezo mda utaisha hajamaliza kutuma, Akaamia kutuma tu. Am sorry
 
may alikua yupo internet cafe alikuwa amelipia mda mchache na yeye sio mzuri sana katika matumizi ya computer, so akahofu akiandika na maelezo mda utaisha hajamaliza kutuma, Akaamia kutuma tu. Am sorry

Those are excuses always
 
Shule yako haijakufuta tongo tongo we we mtoa hoja. Sina tatizo na wahitimu wa Tanzania hata kidogo. wameandaliwa hivyo na iko hivyo siku zote. tofauti no kwamba babu alikuwa na familia ya MTU mmoja na mtoto ana familia ya Watu 2000 kwa mfumo ule ule wa elimu. Wape muda wa kidogo uone kama awafanyi kazi na hawaakiriki. acha kukurupika pembua kwanza. unataka form four wa kenya aje kufanya kaxi ya mtanzania?
 
may alikua yupo internet cafe alikuwa amelipia mda mchache na yeye sio mzuri sana katika matumizi ya computer, so akahofu akiandika na maelezo mda utaisha hajamaliza kutuma, Akaamia kutuma tu. Am sorry

I don't support hiyo heading ya mtoa hoja but such kind of excuses you're giving in here are mainly comes from losers, irresponsible and some dumbass.
 
Shule yako haijakufuta tongo tongo we we mtoa hoja. Sina tatizo na wahitimu wa Tanzania hata kidogo. wameandaliwa hivyo na iko hivyo siku zote. tofauti no kwamba babu alikuwa na familia ya MTU mmoja na mtoto ana familia ya Watu 2000 kwa mfumo ule ule wa elimu. Wape muda wa kidogo uone kama awafanyi kazi na hawaakiriki. acha kukurupika pembua kwanza. unataka form four wa kenya aje kufanya kaxi ya mtanzania?

Hivyo ndivyo uaminivyo na si kuwa umesoma kuyatamka hayo, elim yamtu haimtumi kutamka hayo, shule fulani sikigezo cha kumtoa mtu tongotongo wapo wenye upeo mkubwa wa elim lakin hawajasomea shule uijuayo wewe
 
Hayo maneno tanamfaa sana mtoa hoja, kanichefua sana maana alivyoandika anajiweka yuko juu sana. naomba radhi kwa maneno makali. let look forward to change our education system and build strong nationality.
 
mmoja alinionyesha barua yake ya kuomba kazi nikamuonea huruma, nilijiuliza hiyo degree katolewa wapi hata format ya kuandika barua hajui.. Kuna basic skills ambazo ni a must mtu kua nazo, very basic qualities ambazo ilitakiwa kila mtu azionyeshe, mtu anatuma barua ya kuomba kazi anaandika tu ka story kafupi na matatizo aliyo nayo kwao, utadhani wewe kwenu ndo matatizo hakuna. Siwezi laumu wabongo wote though, najua kuna very good talents out there sema ni za kuhesabu.
 
may alikua yupo internet cafe alikuwa amelipia mda mchache na yeye sio mzuri sana katika matumizi ya computer, so akahofu akiandika na maelezo mda utaisha hajamaliza kutuma, Akaamia kutuma tu. Am sorry

Uko serious au umeamua kutania?
Hilo linamhusu nini mwajiri?!!
 
mmoja alinionyesha barua yake ya kuomba kazi nikamuonea huruma, nilijiuliza hiyo degree katolewa wapi hata format ya kuandika barua hajui.. Kuna basic skills ambazo ni a must mtu kua nazo, very basic qualities ambazo ilitakiwa kila mtu azionyeshe, mtu anatuma barua ya kuomba kazi anaandika tu ka story kafupi na matatizo aliyo nayo kwao, utadhani wewe kwenu ndo matatizo hakuna. Siwezi laumu wabongo wote though, najua kuna very good talents out there sema ni za kuhesabu.

Corse ya kuandika barua alimaarufu communication skills vyuo ving huwa inafundishwa semista moja tuu ya mwaka wa kwanza na mtu unakuta anamiaka mitatu au mnne ndo anamalza unadhani atakumbuka kweli kuandika cv au official letter? Sasa change inabidi ianzie vyuoni ikiwezekana ilo somo lisomwe semista zote mwanafunzi awapo chuoni
 
Shule yako haijakufuta tongo tongo we we mtoa hoja. Sina tatizo na wahitimu wa Tanzania hata kidogo. wameandaliwa hivyo na iko hivyo siku zote. tofauti no kwamba babu alikuwa na familia ya MTU mmoja na mtoto ana familia ya Watu 2000 kwa mfumo ule ule wa elimu. Wape muda wa kidogo uone kama awafanyi kazi na hawaakiriki. acha kukurupika pembua kwanza. unataka form four wa kenya aje kufanya kaxi ya mtanzania?

Comprehension ni tatizo pia, maskini wa Mungu! Tuna tatizo sana Tanzania, lakini viburi vyetu vinatufanya tupretend kuwa everything is alright. Kama graduate anashindwa kusoma na kuelewa palagraph kadhaa tu, kweli anaweza kukabidhiwa ofisi na akafanya kazi kwa ufanisi?!
 
Shule yako haijakufuta tongo tongo we we mtoa hoja. Sina tatizo na wahitimu wa Tanzania hata kidogo. wameandaliwa hivyo na iko hivyo siku zote. tofauti no kwamba babu alikuwa na familia ya MTU mmoja na mtoto ana familia ya Watu 2000 kwa mfumo ule ule wa elimu. Wape muda wa kidogo uone kama awafanyi kazi na hawaakiriki. acha kukurupika pembua kwanza. unataka form four wa kenya aje kufanya kaxi ya mtanzania?

Shule yako haijakufuta tongo tongo we we mtoa hoja. Sina tatizo na wahitimu wa Tanzania hata kidogo. wameandaliwa hivyo na iko hivyo siku zote. tofauti no kwamba babu alikuwa na familia ya MTU mmoja na mtoto ana familia ya Watu 2000 kwa mfumo ule ule wa elimu. Wape muda wa kidogo uone kama awafanyi kazi na hawaakiriki. acha kukurupika pembua kwanza. unataka form four wa kenya aje kufanya kaxi ya mtanzania?

Comprehension ni tatizo pia, maskini wa Mungu! Tuna tatizo sana Tanzania, lakini viburi vyetu vinatufanya tupretend kuwa everything is alright. Kama graduate anashindwa kusoma na kuelewa palagraph kadhaa tu, kweli anaweza kukabidhiwa ofisi na akafanya kazi kwa ufanisi?!
 
Ni ukweli mtupu.

Kuna mmoja ni mdada alituma CV zake ofisini, kwa jinsi alivyoiandaa tukaona tumuite tumfanyie usaili.

Cha ajabu hiyo computer yenyewe hajui programu yoyote ile. Baada ya kumuliza atauambie kipi yeye anachojua kuhusu computer bila aibu akajibu yeye computer anatumiaga kwenye facebook/ ku chati chati, mpaka huruma yani.

Alafu ati ndiyo kamaliza chuo huyo.
 
Corse ya kuandika barua alimaarufu communication skills vyuo ving huwa inafundishwa semista moja tuu ya mwaka wa kwanza na mtu unakuta anamiaka mitatu au mnne ndo anamalza unadhani atakumbuka kweli kuandika cv au official letter? Sasa change inabidi ianzie vyuoni ikiwezekana ilo somo lisomwe semista zote mwanafunzi awapo chuoni

Kwani lecture notes zake alizitupa au hakuna vitabu vya communication skills,Word program ina templates kibao za barua!!
 
Corse ya kuandika barua alimaarufu communication skills vyuo ving huwa inafundishwa semista moja tuu ya mwaka wa kwanza na mtu unakuta anamiaka mitatu au mnne ndo anamalza unadhani atakumbuka kweli kuandika cv au official letter? Sasa change inabidi ianzie vyuoni ikiwezekana ilo somo lisomwe semista zote mwanafunzi awapo chuoni

Me naona hilo somo lisomwe semester ya mwisho tu...kwani ndio anajiandaa kuifanyia applications kwenye maisha ya kutafuta kazi
 
Corse ya kuandika barua alimaarufu communication skills vyuo ving huwa inafundishwa semista moja tuu ya mwaka wa kwanza na mtu unakuta anamiaka mitatu au mnne ndo anamalza unadhani atakumbuka kweli kuandika cv au official letter? Sasa change inabidi ianzie vyuoni ikiwezekana ilo somo lisomwe semista zote mwanafunzi awapo chuoni

Kwanza chuoni hakuna kabisa umuhimu wa kufundishwa jinsi kuandika barua, kwa vile tu imo ndani ya communication skills, na watu huwa wanalichukulia poa tu! Basics za uandishi wa barua ni zilezile kama za primary school, only that graduate anatakiwa na uelewa mpana zaidi na hivyo kuwa na uwezo wa kujieleza vyema kwa mawazo yake huru, utashindwaje kujitambulisha? Utashindwaje kuandika CV, maelezo yako binafsi? Niliwahi kuwa na ofisi ya huduma za uhazili, yaani watu waliokuwa wakimuomba templates za barua na CV mhudumu mpaka unashangaa!
 
Ni ukweli mtupu. Kuna mmoja ni mdada alituma CV zake ofisini, kwa jinsi alivyoiandaa tukaona tumuite tumfanyie usaili. Cha ajabu hiyo computer yenyewe hajui programu yoyote ile. Baada ya kumuliza atauambie kipi yeye anachojua kuhusu computer bila aibu akajibu yeye computer anatumiaga kwenye facebook/ ku chati chati, mpaka huruma yani. Alafu ati ndiyo kamaliza chuo huyo.

Hahahaha, hiyo kali!
 
guys mjue kuna watanzania wako very smart...na pia kuna wakenya na waganda elimu yao ni duni...........msidanganyike sana na kiingereza ........je wana uwezo wa kudeliver kuliko watanzania
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom