Ni wapi wahitimu wa shahada ya kodi wanaweza kupata ajira kama TRA wameamua kuwatosa katika interview iliyopita. Je, hiki chuo kinatambulika na kimesajiliwa? Mwenye wazo lolote kuhusu hiki chuo na upatikanaji wa ajira kwa wahitimu wake atujuze tafadhali.