Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,026
Hii taarifa ya wahitimu 173636 wa darasa la saba kukosa nafasi za sekondari kwa sababu ya uhaba wa madarasa linaingia akilini kweli.
Njoon na Link basiHii taarifa ya wahitimu 173636 wa darasa la saba kukosa nafasi za sekondari kwa sababu ya uhaba wa madarasa linaingia akilini kweli.
Sarkali iache ubinafsi inabidi ishirikiana na shule private kwa kuewake ada elekezi ili shule zinazo weza uwapokea hao wanafunzi za private zifanye hivo ili serikali ilipie hiyo gharama....mda wakufanya watoto wetu kua mtaji wa siasa unagharimu hi nchi sana arafu wanao umia zaidi niwale watoto wamasikini wasio kua na uwezo wakulipia shule za privateHii taarifa ya wahitimu 173636 wa darasa la saba kukosa nafasi za sekondari kwa sababu ya uhaba wa madarasa linaingia akilini kweli.