Umeleta mada ya muhimu sana ila umeiwasilisha vibaya sana mkuu binafsi nko hatua za mwisho kufungua kampuni details zako zingenisaidia sana au ndo tukufate DM na charges?
Umeleta mada ya muhimu sana ila umeiwasilisha vibaya sana mkuu binafsi nko hatua za mwisho kufungua kampuni details zako zingenisaidia sana au ndo tukufate DM na charges?
Ukisajili kampuni na ukapewa TIN certificate unatakiwa kufaili returns uwe umeanza biashara au bado.
Kwa kampuni unakuwa liable na kodi hizi:-
-Provisional Tax (Makadirio)
-SDL
-PAYE
-ROI (Return Of Income) na
-VAT kama uko registered.
Hamna cha zaidi mkuu.
Ukisajili kampuni na ukapewa TIN certificate unatakiwa kufaili returns uwe umeanza biashara au bado.
Kwa kampuni unakuwa liable na kodi hizi:-
-Provisional Tax (Makadirio)
-SDL
-PAYE
-ROI (Return Of Income) na
-VAT kama uko registered.
Hamna cha zaidi mkuu.
Ukisajili kampuni na ukapewa TIN certificate unatakiwa kufaili returns uwe umeanza biashara au bado.
Kwa kampuni unakuwa liable na kodi hizi:-
-Provisional Tax (Makadirio)
-SDL
-PAYE
-ROI (Return Of Income) na
-VAT kama uko registered.
Hamna cha zaidi mkuu.
Ndiyo unalipa Withholding tax on rental contract kama eneo unalofanyia biashara umepanga, na stamp duty.
WHT-10% Of rental contract
STAMP DUTY-1% Of rental contract
Ndiyo unalipa Withholding tax on rental contract kama eneo unalofanyia biashara umepanga, na stamp duty.
WHT-10% Of rental contract
STAMP DUTY-1% Of rental contract
Wewe mfanya biashara unai-hold 10% kwenye malipo ya rent unayolipa (hapa mwenye jengo ndiye anayelipa) in case hana TIN# wewe ndo unakuwa liable sababu Withholding tax na stamp duty lazima zilipwe.