Freedom tommorrow
JF-Expert Member
- Jan 31, 2015
- 1,795
- 1,132
Asante kwa taarifa lakini utaratibu waliotumia kama wmetangaza kwenye website yao pekee ni makosa wanatakiwa watanagaze pia kwenye magazeti yanayosomwa kwa wingi. Labda zimeshajaa
ni kweli mkuu ndio maana tunazidi kujulishana maana hili tangazo humu jukwaani lipo lakini inawezekana kuna wadau hawajaliona ndio maana imebidi nirudie angalau tuzidi kukumbushana kwq vile bado wanaendelea kupokea maombi ya kazi.
Asante kwa taarifa lakini utaratibu waliotumia kama wmetangaza kwenye website yao pekee ni makosa wanatakiwa watanagaze pia kwenye magazeti yanayosomwa kwa wingi. Labda zimeshajaa
Jengeni utamaduni wa kusoma. kwenye application form kuna link mbili. FQA na HELP. hizi link zinatoa majibu ya ulichouliza. Link hizi
Mkuu naomba kuuliza. Vipi kuhusu swala la atachments, mfano mimi nina vyeti zaidi ya 8 na vyote naona ni muhimu sana katika kusuport application zangu. Wao wamesema only 3 attachments na kwel ukisha upload vyeti vitatu tu inakua faint huwe ongeza tena na maxmum ni 600Kb. Hapo unanishaurije juu ya vyeti vingine please!
380,000 Tsh
Bila kumjua SHELUTETE au KIJAZ andika maumivu
Jengeni utamaduni wa kusoma. kwenye application form kuna link mbili. FQA na HELP. hizi link zinatoa majibu ya ulichouliza. Link hizi
Mkuu naomba kuuliza. Vipi kuhusu swala la atachments, mfano mimi nina vyeti zaidi ya 8 na vyote naona ni muhimu sana katika kusuport application zangu. Wao wamesema only 3 attachments na kwel ukisha upload vyeti vitatu tu inakua faint huwe ongeza tena na maxmum ni 600Kb. Hapo unanishaurije juu ya vyeti vingine please!
Mkuu chagua vyeti muhimu 3 uweke, hao jamaa wakishasema usidhani utatumia mbinua yoyote kuweka vyote na ukiweza ukatuma vyote jua cv yako itatupwa.
Pamoja sifanyi kazi TNP lakini sio 380,000 nimeuliza hiyo ni zaidi ya laki 7!
Mkuu chagua vyeti muhimu 3 uweke, hao jamaa wakishasema usidhani utatumia mbinua yoyote kuweka vyote na ukiweza ukatuma vyote jua cv yako itatupwa.
Nimekupata mkuu. Asante sana.
Habari waungwana, naomba msaada wenu kwa hilii.
najaribu kujaza hizi form za ajira mpya za TANAPA,kuna baadhi ya options zinagoma. mfano kwenye attachment. hebu nisaidieni tunafanyaje kwenye attachment?????????????????????
Nafasi zipi hebu nisaidie nami nitume mkuu
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
hawa jamaa chuo changu UDOM hawajakiweka kwenye list... sijui nianzie wapi kuapply!!! msaada tafadhaliWakuu sijui kama uzi wa Tanapa kuhusu nafasi mpya za kazi ushaletwa hapa.
Nimetumiwa ujumbe na jamaa yangu kuwa hawa watu wametangaza nafasi za kazi.
Pitia The official site of the Tanzania National Parks - Vacancies kwa nafasi hizo.
hawa jamaa chuo changu UDOM hawajakiweka kwenye list... sijui nianzie wapi kuapply!!! msaada tafadhali