Wahi nafasi za kazi TANAPA

Wahi nafasi za kazi TANAPA

Mwenye Ndugu ambaye ana vigezo.

TANAPA wametangaza nafasi mbalimbali za kazi e.g. Park Wardens, Park Ecologists, Planning Officer, IT/System Analysts, Clinical Officers, Nurse/Nurse Midwifes, Drivers, Park Rangers, etc.


Hahahah umenifanya nitabasamu ulivyoanza kwa kusema, "mwenye ndugu"
TANZANIA yangu!!!'
 
Bila shaka ili uweze kuapply ni lazima ujaze information kwenye application information system yao.Na hapo kuna mambo mawili,kama tayari umeshawahi kuomba kazi kwa kujaza utakuwa na reference namba ambayo ndo utaingiza then unaomba kazi,kama ni mara ya kwanza unaapply maelezo ni kama hapo chini,lakini me sijaelewa manake nimesign up nikaanza kujaza info on the way ikaniambia page ime-expire ni-log in tena,wadau ninyi mmeelewa vipi hayo maelezo chini hapo?
Not registered with us before ? (If you never applied for any jobs before.)
  • Not need to create Account Or Fill the Form.
  • Just Apply for the job and you will get Reference No.
  • Whenever you come to apply for the job in future, use your Reference No. to apply for other Job.

Jaza vitu basic kwanza then save upate reference no yako ndo unaanze ku update details zako taratibu,unaweza endelea ku edite details zako mpaka siku ya deadline.
Wadahu kumbukeni hii system ni web based kwahiyo ukiifungua kwa muda mrefu na Internet zetu hizi inakuwa na hilo tatizo la ku expire.
 
Back
Top Bottom