mama D hiyo offer ya miezi 6 wala haipo , ingawaje bado ukilinganisha airtel na mitandao mingine airtel ina nafuu! Wana kifurushi cha mwezi kwa sh 2500 unapata mb 400.kwani inakuaje mkuu?? maana mimi voda na tigowamenikera sana nilitaka nikapatehii offer kesho
Bure ni ghali sn mpendwa!
mama D hiyo offer ya miezi 6 wala haipo , ingawaje bado ukilinganisha airtel na mitandao mingine airtel ina nafuu! Wana kifurushi cha mwezi kwa sh 2500 unapata mb 400.
kwani inakuaje mkuu?? Maana mimi voda na tigowamenikera sana nilitaka nikapatehii offer kesho
kwani inakuaje mkuu?? maana mimi voda na tigowamenikera sana nilitaka nikapatehii offer kesho
Afu watu wanapenda sana bure , kuna kipindi modem za airtel ziliisha kabisa watu walizishambulia.....kuna waliokuwa na zile za zamani walivyosikia kuna miezi 6 bure wakarudia kwenda kununua.....yaani ukifika airtel unakutana na foleni kubwa!
Afu watu wanapenda sana bure , kuna kipindi modem za airtel ziliisha kabisa watu walizishambulia.....kuna waliokuwa na zile za zamani walivyosikia kuna miezi 6 bure wakarudia kwenda kununua.....yaani ukifika airtel unakutana na foleni kubwa!