Kiukweli inaumiza sn...walimu kwenye nchi hii tumefanywa matambala ya deki, "yaani tambala linasafisha nyumba hadi inang'aa there after linafichwa mbali kbs na halitakiwi kuonekana kbs" walimu wa nchi hii hawathaminiwi,wanapuuzwa,wanadharauliwa,wanakejeliwa na kunyanyaswa wazi wazi....CCM na serikali yenu tambueni sisi ndo tunazalisha wataalamu wote na hata raia wa kawaida sisi ndo tumewalea na kuwapa maarifa na uelewa hata wa kujua umuhimu wa kulipa kodi,kupiga kodi na elimu y kawaida ya kiraia. CCM ACHENI UNAFIKI,HIVI NI KWELI HAMJUI KUWA WALIMU TUNAMAISHA DUNI?? SERIKALI HIVI HAMJUI KUWA WALIMU HATUNA MAKAZI?? NYIE CCM NA SERIKALI YENU HIVI NI NANI ASIYEJUA KUWA WALIMU HATUNA ARI YA KUFANYA KAZI KUTOKANA NA UDUNI WA MAISHA?? Hakika CCM eleweni kuwa MUNGU atawalaani kwa DHULUMA na UDHALILISHAJI munaotufanyia walimu...TUMEWALALAMIKIA SN,TUMEWAOMBENI SN, TUMEWABEMBELEZENI SN ILA HAMTAKI KUSIKIA KILIO CHETU ....Sasa tunasema cha kufanya tunajua, TUNAMWAGA MBOGA SASA!!