Fbn
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 14,138
- 33,524
Wanaume ni tofauti sana yani kama kuna maamuzi yako,jambo lako tambua hakuna mwanaume mwenzako anaweza kukubeba wala kukupa mwongozo.
Ila kwa mwanamke yani anapewa muongozo na maamuzi anakupa wewe mwanaume.
Tokea ile kauli ya mabeyo na sasa umepata picha kuwa nguvu za wanawake wanabebwa na wanaume.
Ila kwa mwanamke yani anapewa muongozo na maamuzi anakupa wewe mwanaume.
Tokea ile kauli ya mabeyo na sasa umepata picha kuwa nguvu za wanawake wanabebwa na wanaume.