kambagasa
JF-Expert Member
- Aug 18, 2014
- 2,271
- 1,810
Umedhuilumiwa wapi onyesha ni kura za kituo kipi cha kura ulichodhulumiwa.Usisikilize porojo za wanasiasa.Waambie wakuonyeshe ni kura za kituo kipi walidhulumiwa.Maana zote zilikuwa zikibandikwa vituoni na baadae kupelekwa tume.Wakuonyeshe kwenye kituo zilikuwa ngapi na zilizofika tume zilikuwa ngapi
Mimi namshukuru Mungu mno aliyenipa nafasi ya kutompa kura Lowasa mwanasiasa lagai aliyelagai hadi viongozi wa kanisa wakalaghaika wakajiingiza kichwa kichwa kutaka kulipa taifa kiongozi laghai .Ee MUNGU nakushukuru SANA tena SANA sina cha kukulipa zaidi ya kukushukuru kwa hilo.Na asante kuniwezesha kumpigia kura Maghufuli
Mwanzoni ulionekana umejaa busara kumbe frushi la matikitimaji.