Tatizo sio Lowassa kuwa kimya, bali Watanzania waliodhurumiwa ushindi wao. Wao ndio wapo kimya na hii inamaana gani?
Umedhuilumiwa wapi onyesha ni kura za kituo kipi cha kura ulichodhulumiwa.Usisikilize porojo za wanasiasa.Waambie wakuonyeshe ni kura za kituo kipi walidhulumiwa.Maana zote zilikuwa zikibandikwa vituoni na baadae kupelekwa tume.Wakuonyeshe kwenye kituo zilikuwa ngapi na zilizofika tume zilikuwa ngapi
Mimi namshukuru Mungu mno aliyenipa nafasi ya kutompa kura Lowasa mwanasiasa lagai aliyelagai hadi viongozi wa kanisa wakalaghaika wakajiingiza kichwa kichwa kutaka kulipa taifa kiongozi laghai .Ee MUNGU nakushukuru SANA tena SANA sina cha kukulipa zaidi ya kukushukuru kwa hilo.Na asante kuniwezesha kumpigia kura Maghufuli
Umedhuilumiwa wapi onyesha ni kura za kituo kipi cha kura ulichodhulumiwa.Usisikilize porojo za wanasiasa.Waambie wakuonyeshe ni kura za kituo kipi walidhulumiwa.Maana zote zilikuwa zikibandikwa vituoni na baadae kupelekwa tume.Wakuonyeshe kwenye kituo zilikuwa ngapi na zilizofika tume zilikuwa ngapi
Mimi namshukuru Mungu mno aliyenipa nafasi ya kutompa kura Lowasa mwanasiasa lagai aliyelagai hadi viongozi wa kanisa wakalaghaika wakajiingiza kichwa kichwa kutaka kulipa taifa kiongozi laghai .Ee MUNGU nakushukuru SANA tena SANA sina cha kukulipa zaidi ya kukushukuru kwa hilo.Na asante kuniwezesha kumpigia kura Maghufuli
Acha ujinga wewe.
Mmeiba kura sahivi mnaleta ngonjera?
Umedhuilumiwa wapi onyesha ni kura za kituo kipi cha kura ulichodhulumiwa.Usisikilize porojo za wanasiasa.Waambie wakuonyeshe ni kura za kituo kipi walidhulumiwa.Maana zote zilikuwa zikibandikwa vituoni na baadae kupelekwa tume.Wakuonyeshe kwenye kituo zilikuwa ngapi na zilizofika tume zilikuwa ngapi
Mimi namshukuru Mungu mno aliyenipa nafasi ya kutompa kura Lowasa mwanasiasa lagai aliyelagai hadi viongozi wa kanisa wakalaghaika wakajiingiza kichwa kichwa kutaka kulipa taifa kiongozi laghai .Ee MUNGU nakushukuru SANA tena SANA sina cha kukulipa zaidi ya kukushukuru kwa hilo.Na asante kuniwezesha kumpigia kura Maghufuli
Umedhuilumiwa wapi onyesha ni kura za kituo kipi cha kura ulichodhulumiwa.Usisikilize porojo za wanasiasa.Waambie wakuonyeshe ni kura za kituo kipi walidhulumiwa.Maana zote zilikuwa zikibandikwa vituoni na baadae kupelekwa tume.Wakuonyeshe kwenye kituo zilikuwa ngapi na zilizofika tume zilikuwa ngapi
Mimi namshukuru Mungu mno aliyenipa nafasi ya kutompa kura Lowasa mwanasiasa lagai aliyelagai hadi viongozi wa kanisa wakalaghaika wakajiingiza kichwa kichwa kutaka kulipa taifa kiongozi laghai .Ee MUNGU nakushukuru SANA tena SANA sina cha kukulipa zaidi ya kukushukuru kwa hilo.Na asante kuniwezesha kumpigia kura Maghufuli
Acha ujinga wewe.
Mmeiba kura sahivi mnaleta ngonjera?
Inaumiza Sana Lowassa kashinda lakini mijizi inampoka Ushindi wake.
Umedhuilumiwa wapi onyesha ni kura za kituo kipi cha kura ulichodhulumiwa.Usisikilize porojo za wanasiasa.Waambie wakuonyeshe ni kura za kituo kipi walidhulumiwa.Maana zote zilikuwa zikibandikwa vituoni na baadae kupelekwa tume.Wakuonyeshe kwenye kituo zilikuwa ngapi na zilizofika tume zilikuwa ngapi
Mimi namshukuru Mungu mno aliyenipa nafasi ya kutompa kura Lowasa mwanasiasa lagai aliyelagai hadi viongozi wa kanisa wakalaghaika wakajiingiza kichwa kichwa kutaka kulipa taifa kiongozi laghai .Ee MUNGU nakushukuru SANA tena SANA sina cha kukulipa zaidi ya kukushukuru kwa hilo.Na asante kuniwezesha kumpigia kura Maghufuli