johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,290
- 142,478
- Thread starter
- #81
Epa?Mkapa alifanya mambo makubwa sn kupita kiasi
Epa?Mkapa alifanya mambo makubwa sn kupita kiasi
Hahahaaaa.... Kama alivyokuwa anavaa yeye mwenyewe zile punjab.Namkumbuka Chaudry (RIP) ndo alianzisha uvaaji wa pajama mpaka leo ndo uniform ya wasichana
Kaka yako alikuwa tajiri halafu akayumba kipindi cha Magu?Awamu ya Nne ya Dr. JK.
Ni katika awamu hii nilipanda madaraja mara mbili, mwanangu aliajiriwa, Mdogo wangu aliajiriwa, Ulikuwa ndo mwanzo wa kaka yangu kuwa tajiri kabla ya kuyumba ktk awamu ya Magu.
Pia vijana wengi mtaani kwetu waliajiriwa au kujiajiri na mzunguko wa pesa ukawa mzuri.
Lazima kutafuna tafuna kidogoEpa?
Wakati ule tuliona kama anatupotosha leo ukiona shule zinatumia kiwango kilekile Cha uniform,,Mimi niliona anatunyima burudani ya kuona miguu ya bia ya toto's za miaka Ile miguu ya kina Trancy Tralumba nadhani unamkumbuka alikuwa anakaa frelimo,na Mademu wa highland ndiyo waliofanya ubunifu wa kuvaa viimin sketi. shuleniNamkumbuka Chaudry (RIP) ndo alianzisha uvaaji wa pajama mpaka leo ndo uniform ya wasichana