Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,869
- Thread starter
- #481
Umenikumbusha kipichi hicho kulikuwa hakuna skintight mlikuwa mnavaa vibukta vya Kaki kama askari wa kikoloni , Masister zangu walikuwa wehu zaidi mana walikuwa wanatamani hadi makalio ya kue makubwa kwahiyo walikuwa wakiwang'atisha hadi makalioni ... Kweli watoto wakike huwaga wajanja mapema sana


