Sawa, kumbe wengine ni kidini.
Tunakatwa bhana, asiseme jambo ambalo halijui.Wachagga wote wanatahiri, japokuwa sio utamaduni wao!! CC: Mr Rocky, Arushaone, Mentor, Kibo10, Mtoto halali na hela.
Sijui wengine wanavyojua,binafsi natambua kuwa leo tunaona MIKOA ya PWANI mingi ni kama UTAMADUNI kwao kwa kuwa WAGENI waliowaletea dini na tamaduni maeneo hayo yaliipa TOHARA uzito gani? MFANO (nahisi) watu walioeneza UKRISTO sidhani kama yaliweka uzito ktk swala hili,UKILINGANISHA NA walioneza UISLAMU_binafsi si mtaalamu wa historia ila siamini kabla ya waeneza dini kama tulikuwa na tamaduni za tohara. Ni hayo MKUU.
Ukitamka neno tafiti wengine hupenda kuona source. Imwage hapa.Mkuu, wahehe hawatahiri, mikoa mingi sana tanznaia hawatahiri kabisa. mkoa wa iringa, njombe, mbeya, rukwa/sumbawanga, kigoma, mwanza,tabora,dodoma,ruvuma, kagera yote, Kilimanjaro, hawatahiri kabisa. ukiona mtu ametahiri ujue amekulia mjini au amejipeleka mwenyewe akiwa mtu mzima. au labda awe amezaliwa familia ya kiislam ndio wanatahiri, ila dini zingine hawathubutu kabisa.
mikoa wanayotahiri ni kama tanga, lindi, dsm, pwani,mtwara,arusha,mara/wakurya, manyara etc, hao wengine wanafanya kimila ila wengine ni kwasababu ya dini ya kiislam hasa ukanda wa pwani. in general, itis possible kwamba asilimia 50% ya watz wanatoka makabila yasiyotahiriwa na hawajatahiriwa kabisa hadi leo. nashukuru Mungu nimetahiriwa kwasababu kutotahiriwa ni aibu kubwa nafikiri, pamoja na kwamba natoka kabila lisilotahiri, isipokuwa, kama ningekuwa sijatahiri hadi leo, nisingetahiriwa kwasababu naamini mtu asiyetahiriwa pengine anapata ladha bora zaidi kuliko mimi niliyetahiri, ndio maana wazungu wameanza kampeni ya kukataza watoto kutahiri baada ya study kuonyesha mtu asiyetahiriwa anaona utamu kuliko aliyetahiriwa.
Nataka kufahamu tu! Wahehe hawana Utamaduni wa kuwatahiri watoto wao wakiume?
Nimeona wanaume watu wazima wakihamasishwa kufanyiwa tohara.
Si jambo baya ila ni vyema kuwatahiri wakiwa watoto.
Nilidhani ni wasukuma tu, wasiokuwa na utamaduni huu...
Ni makabila gani mengine hapa nchini wasiokuwa na mila na desturi hii?
wachaga wa wapi wanatahiri mzee, labda warombo wanaotahiri hadi wanawake. wengine wanaotahiri ni wachagga wa wapi? kibosho, machame, wapi? najua kuna wachagga baadhi wanakeketa wanawake ndio maana wachagga wa aina fulani hata kupata mme huwa shughuli...makabila yanayokeketa wanawake wao wengi hawaolewi masikini...
Pwani watu hutahiriwa kimila mfano Wamakonde, Wazaramo, Wandengereko, Wanyagatwa, Wakwere, Wadigo etc ingawa dini nayo inahusika.
Tunakatwa bhana, asiseme jambo ambalo halijui.
atakuwa anakekengeza huyuwapi kina miss chagga wamedhalilishwa?
Halafu kama Hute ni mwanaume afu anakomaa kuwa wachagga hawatahiri sijui alijuaje na ni utafiti gan alifanya....angekuwa mwanamke labda ningesema anaongea from experience but kama ni man inabidi uje na facts za kitafiti ndo ueleweke...la sivyo nabaki na mashaka mengi sana....
au labda tuwaulize kina dada, kama walishawahi kukutana na mchagga ambaye hajatahiri au wanakutana na waliotahiri...hao niliowakoti...mnasemaje jamani?