Wahehe na Tohara

Wahehe na Tohara

wachaga wa wapi wanatahiri mzee, labda warombo wanaotahiri hadi wanawake. wengine wanaotahiri ni wachagga wa wapi? kibosho, machame, wapi? najua kuna wachagga baadhi wanakeketa wanawake ndio maana wachagga wa aina fulani hata kupata mme huwa shughuli...makabila yanayokeketa wanawake wao wengi hawaolewi masikini...

MKUU misschagga kuna mtu anawadhalilisha kaka na dada zAKO huku
 
Last edited by a moderator:
Badilisha kichwa cha thread andika Wazungu na Tohara.
 
wachaga wa wapi wanatahiri mzee, labda warombo wanaotahiri hadi wanawake. wengine wanaotahiri ni wachagga wa wapi? kibosho, machame, wapi? najua kuna wachagga baadhi wanakeketa wanawake ndio maana wachagga wa aina fulani hata kupata mme huwa shughuli...makabila yanayokeketa wanawake wao wengi hawaolewi masikini...

MKUU kiwatengu
 
Last edited by a moderator:
wachaga wa wapi wanatahiri mzee, labda warombo wanaotahiri hadi wanawake. wengine wanaotahiri ni wachagga wa wapi? kibosho, machame, wapi? najua kuna wachagga baadhi wanakeketa wanawake ndio maana wachagga wa aina fulani hata kupata mme huwa shughuli...makabila yanayokeketa wanawake wao wengi hawaolewi masikini...

MKUU kiwatengu labda nimetafsiri vibaya sor
 
Last edited by a moderator:
Huko balaa, yaonyesha sio tamaduni NA campaign huko Ni ya muda mrefu, maana kutoka magovi kunisaidia kupinguza maambikizi ....
 
Worry out, mkuu nadhani kikwenu hii kitu ya mbele huondolewa mapema.

DINI ilinifanya niwe mmoja wapo wa kuondoa hiyo k2,ila sina takwimu sahihi! si unajua wakina MWANDOSYA,MWANDAMBO,MWALWIBA
 
DINI ilinifanya niwe mmoja wapo wa kuondoa hiyo k2,ila sina takwimu sahihi! si unajua wakina MWANDOSYA,MWANDAMBO,MWALWIBA

Sawa, kumbe wengine ni kidini.
 
Mimi nilitahiriwa nikiwa na miaka 18 kwa hiari yangu sio utamaduni wetu kutahiri lakini sioni umuhimu wa kufanya hivyo glans sio sensitive kama niliyokuwa mwanzo ngozi yake imekuwa sawa na ya maeneo mengine kama mkono
 
Ndugu zanguni wachagga wanatahiri. Tena kama mwanaume wa kichagga hujatahiriwa huwa hata kwenye mbege wanakusimanga. KIJANA akifika umri wa kubalehe wanawekwa ndani rika na kutahiriwa hasa kwa miaka ya nyuma. Siku hizi akimaliza darasa la saba akisubiri majibu anapelekwa Hosp au kwa babu kuteenwa. Hivyo ondoeni wachagga kwenye kundi la wenye mkono wa sweta kama wa kutoka mbeya.
 
Wachagga wote wanatahiri, japokuwa sio utamaduni wao!!
CC: Mr Rocky, Arushaone, Mentor, Kibo10, Mtoto halali na hela.

Sijui kuhusu zamaniiii..ila tangu ninakua nilifahamu wachagga tunatahiri ila ukiwa mkubwa mathalan ukishabalehe.

Baada ya utandawazi na kwenda kwenda shule ikawa inafanyika wanapomaliza darasa la saba. Mimi ni mmojawapo tuliotahiriwa kwa jumla kule wetu old moshi...baada ya kumaliza la saba tukakusanywa vijana kama 15 tukafundishwa fundishwa vitu. Halafu tukatahiriwa kwa pamoja ingawa kwa vifaa vya kisasa ila dokta alikuja nyumbani kijijini. Na akawa anakuja kutu dress wote pamoja...mpaka tukapona.

Baba yangu ananiambia alitahiriwa vivyohivyo...
 
Last edited by a moderator:
Huyu jamaa anayedai wachagga hawatahiri ashakutana na operation ondoa kono LA sweta Kilimanjaro kama ilivyo Iringa na Mbeya??
 
Back
Top Bottom