Teh teh
.... mi mmakonde! tunafanya hiyo kitu ukiwa na miaka kumi tu.
Hakuna Mmakonde yoyote ambaye hajaenda jando, labda kizazi hiki cha .com
Tena umakondeni usipo tahiriwa unaitwa "Mnemba" ni bonge la tusi hahahahaa hata vijana wa rika yako wanakutenga kisaikolojia unaweza hama mtaa kudadeki daah!!
ha ha ha ha..."mnemba"...umenikumbusha mbali aisee!!
hivi hii mambo si ilikuwepo kabla hata ya ukoloni?
Huyu jamaa anayedai wachagga hawatahiri ashakutana na operation ondoa kono LA sweta Kilimanjaro kama ilivyo Iringa na Mbeya??
Mkuu, wahehe hawatahiri, mikoa mingi sana tanznaia hawatahiri kabisa. mkoa wa iringa, njombe, mbeya, rukwa/sumbawanga, kigoma, mwanza,tabora,dodoma,ruvuma, kagera yote, Kilimanjaro, hawatahiri kabisa. ukiona mtu ametahiri ujue amekulia mjini au amejipeleka mwenyewe akiwa mtu mzima. au labda awe amezaliwa familia ya kiislam ndio wanatahiri, ila dini zingine hawathubutu kabisa.
mikoa wanayotahiri ni kama tanga, lindi, dsm, pwani,mtwara,arusha,mara/wakurya, manyara etc, hao wengine wanafanya kimila ila wengine ni kwasababu ya dini ya kiislam hasa ukanda wa pwani. in general, itis possible kwamba asilimia 50% ya watz wanatoka makabila yasiyotahiriwa na hawajatahiriwa kabisa hadi leo. nashukuru Mungu nimetahiriwa kwasababu kutotahiriwa ni aibu kubwa nafikiri, pamoja na kwamba natoka kabila lisilotahiri, isipokuwa, kama ningekuwa sijatahiri hadi leo, nisingetahiriwa kwasababu naamini mtu asiyetahiriwa pengine anapata ladha bora zaidi kuliko mimi niliyetahiri, ndio maana wazungu wameanza kampeni ya kukataza watoto kutahiri baada ya study kuonyesha mtu asiyetahiriwa anaona utamu kuliko aliyetahiriwa.
Magovi na taa hawaendani kabisa muda wa kugegeda wao giza tu
bila shaka ilikuwepo,ila siku hizi kasi ya kuweka watoto jandoni inapungua imebaki tohara tu tena hospitali.ndo mana watoto wa siku hizi kma wakina GENTAMYCINE wanakua hawana adabu.
da kweli mkuu yaani ukikata unaonekana braisoni.Wanyakyusa,wachaga,wahaya. Wangoni. Ukiondoa makabila ya pwani,huko bara tohara unaonekana kama kilema
Nataka kufahamu tu! Wahehe hawana Utamaduni wa kuwatahiri watoto wao wakiume?
Nimeona wanaume watu wazima wakihamasishwa kufanyiwa tohara.
Si jambo baya ila ni vyema kuwatahiri wakiwa watoto.
Nilidhani ni wasukuma tu, wasiokuwa na utamaduni huu...
Ni makabila gani mengine hapa nchini wasiokuwa na mila na desturi hii?
Umesahau wahaya? Wahaya mpaka dakika hii naandika haya kwako bado wanaharibu lugha ya kiswahili kwa kujiita watu wazima (magovi, hawajatahiriwa).
Mkuu, wahehe hawatahiri, mikoa mingi sana tanznaia hawatahiri kabisa. mkoa wa iringa, njombe, mbeya, rukwa/sumbawanga, kigoma, mwanza,tabora,dodoma,ruvuma, kagera yote, Kilimanjaro, hawatahiri kabisa. ukiona mtu ametahiri ujue amekulia mjini au amejipeleka mwenyewe akiwa mtu mzima. au labda awe amezaliwa familia ya kiislam ndio wanatahiri, ila dini zingine hawathubutu kabisa.
mikoa wanayotahiri ni kama tanga, lindi, dsm, pwani,mtwara,arusha,mara/wakurya, manyara etc, hao wengine wanafanya kimila ila wengine ni kwasababu ya dini ya kiislam hasa ukanda wa pwani. in general, itis possible kwamba asilimia 50% ya watz wanatoka makabila yasiyotahiriwa na hawajatahiriwa kabisa hadi leo. nashukuru Mungu nimetahiriwa kwasababu kutotahiriwa ni aibu kubwa nafikiri, pamoja na kwamba natoka kabila lisilotahiri, isipokuwa, kama ningekuwa sijatahiri hadi leo, nisingetahiriwa kwasababu naamini mtu asiyetahiriwa pengine anapata ladha bora zaidi kuliko mimi niliyetahiri, ndio maana wazungu wameanza kampeni ya kukataza watoto kutahiri baada ya study kuonyesha mtu asiyetahiriwa anaona utamu kuliko aliyetahiriwa.