Wahaya waandamana

Wahaya waandamana

Mapolomoko

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2013
Posts
1,751
Reaction score
422
Leo mjini BUKOBA kulikuwa na maandamano makubwa ambayo hayajawahi kutokea wakiomba wajengewepicha ya senene ikitema lubisi, eti kisa wenzao wa MWANZA wamejengewa picha ya samaki ikitema maji (hezea wahayawewe)
 
Wangetakiwa wajengewe picha ya libolo bana

Sent from my BlackBerry 9800 using Jamie's
 
sasa na wanydmwezi watataka wacholewe tumbaku inatoa moshi..na je? Vp kwa walima mkonge itabidi wachelewe m2 anajinyonga huku akitema damu
 
sasa na wanyamwezi watataka wacholewe tumbaku inatoa moshi..na je? Vp kwa walima mkonge itabidi wachelewe m2 anajinyonga huku akitema damu
 
Moshi wachorewe picha ya hela jamani!

Sent from my BlackBerry 9800 using Jamie's
 
Leo mjini BUKOBA kulikuwa na maandamano makubwa ambayo hayajawahi kutokea wakiomba wajengewepicha ya senene ikitema lubisi, eti kisa wenzao wa MWANZA wamejengewa picha ya samaki ikitema maji (hezea wahayawewe)
 
Rukwa na Tanga wanataka sanamu yenye ungo ukipaa hewani na binadamu akiwa m2pu.
 
Mbeya wachorewe picha ya wanachama wa chadema wakifanya vurugu
 
Back
Top Bottom