WAHAYA na WANYAKYUSA hufilisika kwenye utu uzima


We kabila gani! kama wewe ni wale wanaokulamara moja kutwa, mlo wa maandazi etc shauri yako. Tupe kabila lako
 

Nafikiri umekurupuka mimi katika hilo hawa jamaa nawafagilia kwani wengi wao wamefanya vitu vya maana sana kwao. Nenda Bukoba, kuna mzungu alitokea mwanza akawa anaenda Bukoba mjini njiiani alishangaa sana akiuliza kama vijijini mambo ni mazuri vile mjini kutakuwa je?. Kwani aliona uoto wa asili, mashamba yaliyopangiliwa vizuri na majumba yenye hadhi. Hivyo hiyo observation yako ya uongo kabisa
 
Kuna Thready moja humu ndani nimeandika - "Huu ni mtazamo wangu kwanini nchi hii wasipewe wachagga"
 
Du, wale moderators wekeni hii pembeni, itafanya siku jf saccos ikianza tuogope kutaja majina yetu ya ukweli.
 
Wachaga wanapata mali kwa njia nyingi sana .1.Kufanya watoto wao ndondocha 2.Wizi wa kila aina ni sifa mojawapo kwao mwanamume kuiba 3.Kudhurumina kwao ndo sana.Kwa hiyo makabila ya wanakyusa na wahaya hawana hiyo vitu.
 
Usipende sana ku generalise mambo............!!!!!!!!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…