Wahasibu Serikalini!!

Mvaa Tai

JF-Expert Member
Aug 11, 2009
6,159
4,443
1.Waalimu wote serikalini wapo chini ya Wizara ya Elimu.
2.Madaktari wote Serikalini wapo Wizara ya Afya na
3.Wahasibu wote serikali kuu wapo chini ya Wizara ya Fedha

Na kada balimbali Serikali kuu zipo chini ya wizara mbalimbali.

Kitu kinachonishangaza ni kwamba Nimekuwa nasikia kilio cha waalimu, na Madaktari tuu kuhusiana na Masuala ya Maslahi. Mbona sijawahi kuwasikia Wahasibu wakilalamika na kutishia kugoma japo Mishahara ya Wahasibu Serikalini ni midogo kuliko ya Madaktari?
 
Its high time you did that!...Mkikaa kimya mnaacha nafasi kwa mafisadi kujipangia jinsi ya kuzila hizo fedha !
 
Its high time you did that!...Mkikaa kimya mnaacha nafasi kwa mafisadi kujipangia jinsi ya kuzila hizo fedha !

Mimi nimefikia mahala nahisi kama Madaktari ni wabinafsi na wanajiona wao ni muhimu kuliko kada zingine, kwanini wao tuu? Ukiangalia viwango vya mishaara ya madaktari ni vikubwa kuliko mtumishi yeyote Serikali kuu
 
Na wasisahau kuwa wanasomeshwa na serikali kwa fedha nyingi sana.

Vile vile wanatumia muda wao wa kazi kuhudumia hospitali nyengine na vidispensary vyao.

Wakumbuke vyote hivyo wanapodai mishahara na mambo mengine.

Samahanini sana madaktari lakini he ya wanafunzi mumeyageuza yenu tena! Mumeteka nyara hoja yao mukawaweka pembeni.
 
Uchunguzi yakinifu unafaa ufanyike,kwa kuwa inawezekana wahasibu ni wezi wakubwa ndiyo maana hawatilii maanani kwenye suala la mshahara!
 
Mimi nimefikia mahala nahisi kama Madaktari ni wabinafsi na wanajiona wao ni muhimu kuliko kada zingine, kwanini wao tuu? Ukiangalia viwango vya mishaara ya madaktari ni vikubwa kuliko mtumishi yeyote Serikali kuu
Mkuu angalia kaziwanazofanya madaktari na mshahara wanaopata ndio utagundua ni kwanini wanagoma.
 
1.Waalimu wote serikalini wapo chini ya Wizara ya Elimu.
2.Madaktari wote Serikalini wapo Wizara ya Afya na
3.Wahasibu wote serikali kuu wapo chini ya Wizara ya Fedha

Na kada balimbali Serikali kuu zipo chini ya wizara mbalimbali.

Kitu kinachonishangaza ni kwamba Nimekuwa nasikia kilio cha waalimu, na Madaktari tuu kuhusiana na Masuala ya Maslahi. Mbona sijawahi kuwasikia Wahasibu wakilalamika na kutishia kugoma japo Mishahara ya Wahasibu Serikalini ni midogo kuliko ya Madaktari?
Mdau Azan pole wahasibu ile kitabu yao IFRS hairuhusu migomo ila kama maslah ndogo tumia prorata basis mambo yatulia. Ushanisoma
 
Mimi nimefikia mahala nahisi kama Madaktari ni wabinafsi na wanajiona wao ni muhimu kuliko kada zingine, kwanini wao tuu? Ukiangalia viwango vya mishaara ya madaktari ni vikubwa kuliko mtumishi yeyote Serikali kuu

Ndugu ubinafsi kwenye kudai haki yako?tuje tukufuate ulipo tugome wote au mtutafute tushirikiane?....in short tunajua tulichokisoma and we know its worth...sisemi tupo juu ya wengine au tunastahili kulipwa kuliko wengine hila tumetambua tunaonewa ndugu yangu. Amkeni watanzania hawa mafisadi wanafanya maisha kuwa magumu.usicomment kwa ushabiki comment huku unaifikiria familia yako
 
Na wasisahau kuwa wanasomeshwa na serikali kwa fedha nyingi sana.

Vile vile wanatumia muda wao wa kazi kuhudumia hospitali nyengine na vidispensary vyao.

Wakumbuke vyote hivyo wanapodai mishahara na mambo mengine.

Samahanini sana madaktari lakini he ya wanafunzi mumeyageuza yenu tena! Mumeteka nyara hoja yao mukawaweka pembeni.

Ndugu sio wote tuliosomeshwa na serikali,wengine tulikuwa private.
Unafikiri nikilipwa vizuri ntaenda kwenye hivyo vidispensary?unajua vinavyochosha ndugu?
 
nadhani mgomo wa wahasibu hauna madhara ndio maana hawezi kugoma. waasibu hako katika kutoa huduma ambazo zinahitaji uwepo wao muda wote, tofauti na waalimu na madakatali, mgomo wao peleka malipo yako na usito chochoyte kama faili lako litaonekana
 
wahasibu hawawezi kugoma hata siku moja
kwanza wengi wao hawana njaa,
pili kazi ya kihasibu siyo ngumu kivile kama kumpasua mtu kichwa, kumtoa mtu mimba, posmotam nk.
tatu wahasibu wapo wengi sana director of finance/chief accountant wakigoma wale juniour fasta wanafanya hiyo kazi
 
wagonjwa 1000 daktari 1, na mazingira ya kazi ni hatarishi, kazi yenyewe huwezi kuzima moto km kazi za wahasibu na socialogy. (kazi za kukaa kwenye semina kila kukicha), bado wizi, madktari waibe dawa? ni kazi inayotia huruma wkt mwingine ukiona mgonjwa wa kukata roho, so kazi yao ni ngumu kwakweli, haina shortcut,
 
Back
Top Bottom