Wahanga wa DECI

Kwani ukipanda mvua isipokunya utavuna? Ni bahati mbaya mvua haikunyesha labda msimu mwingine
 
Bado kuna watu wanamatumaini na deci mpaka leo hii? Mlizwe mara ngapi na kwa namna gani ndio mjue kuwa cheap is xpensive?
 
jamaa zangu kibao walikuwa wanashinda Mabibo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…