Naibu waziri Suleimani Jafo amesema "kwa walimu wa masomo ya sanaa na biashara serikali inafanya tathmini ya walimu wa masomo ya sanaa na biashara waliopo mjini na vijijini ili walimu waliozidi ambo wapo mjini wahamishiwe shule za vijijini". Tusaidiane kueleweshana kuhusu majibu ya naibu waziri Suleimani Jafo kuhusu ajira za walimu wa sanaa na biashara huku tukilinganisha na tamko la kukanusha uvumi wa wahitimu wa masomo ya sanaa na biashara kutoajiliwa hadi uhitaji wao utakapo onekana. Je ajira hizo hazipo kabisa au nimemuelewa vibana? Nawasilisha mada.