johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,976
Mkuu wa mkoa wa Dsm Mh Makonda amesema utaratibu wa kuwepo daftari la wakazi kwa kila mtaa urejeshwe mara moja.
Makonda amesema ili kudhibiti wimbi la wahamiaji haramu ni lazima wakazi wa kila mtaa wakafahamika na wageni wanaokuja kusalimia taarifa zao zipelekwe kwa mjumbe wa serikali ya mtaa.
Makonda amekumbusha kuwa hivi sasa tunaelekea kwenye uchaguzi hivyo swala la ulinzi wa amani yetu halina mbadala.
Source TBC habari
Maendeleo hayana vyama!
Makonda amesema ili kudhibiti wimbi la wahamiaji haramu ni lazima wakazi wa kila mtaa wakafahamika na wageni wanaokuja kusalimia taarifa zao zipelekwe kwa mjumbe wa serikali ya mtaa.
Makonda amekumbusha kuwa hivi sasa tunaelekea kwenye uchaguzi hivyo swala la ulinzi wa amani yetu halina mbadala.
Source TBC habari
Maendeleo hayana vyama!