Mkatavimeo
JF-Expert Member
- Jan 3, 2011
- 2,150
- 868
Breaking news kutoka ITV hivi punde zinasema, polisi, imekamata wahamiaji wengine 39 wakiwa wanasafirishwa na Canter maeneo ya Himo.
Wakati wakipelekwa kituo cha polisi himo, dereva wa lori hilo alijaribu kukimbia na akalipeleka mtaroni lori hilo kwa makusudi na likapata ajali. Dereva alifanikiwa kuruka na kukimbia, na wahamiaji 27 walijeruhiwa vibaya na wamepelekwa hospitali ya KCMC moshi mjini.
SOURCE; ITV.
Wakati wakipelekwa kituo cha polisi himo, dereva wa lori hilo alijaribu kukimbia na akalipeleka mtaroni lori hilo kwa makusudi na likapata ajali. Dereva alifanikiwa kuruka na kukimbia, na wahamiaji 27 walijeruhiwa vibaya na wamepelekwa hospitali ya KCMC moshi mjini.
SOURCE; ITV.