Wahaini wanakula tu kwa urefu wa kamba.

Wahaini wanakula tu kwa urefu wa kamba.

Iko wazi Ngedere hawezi kumshtaki nyani kwa kuiba mahindi shambani
 
Boya gani huyu?ni wakati sasa watu kama hawa kuwekwa hadharani ili sisi kama jamii tuweze kuwapa stahiki zao
 
Hakuna chama kinaweza kuitoa CCM madarakani kupitia uchaguzi maana imejibinafsishia vyombo vya dola. Ni lazima Mungu mwenyewe ahusike.
 
Back
Top Bottom