Unamkuta mtu Profesa kavaa miwani na suti, midevu kama yote kasimama kwenye banda la maonyesho 7-7 anaelezea jinsi mashine ya kufyatulia tofali inavyofanya kazi. Yaan mishipa ya shingo inamtoka kabisa.Hahahaha,,, aliyetuloga kafa
Unamkuta mtu Profesa kavaa miwani na suti, midevu kama yote kasimama kwenye banda la maonyesho 7-7 anaelezea jinsi mashine ya kufyatulia tofali inavyofanya kazi. Yaan mishipa ya shingo inamtoka kabisa.Hahahaha,,, aliyetuloga kafa
Unamkuta mtu Profesa kavaa miwani na suti, midevu kama yote kasimama kwenye banda la maonyesho 7-7 anaelezea jinsi mashine ya kufyatulia tofali inavyofanya kazi. Yaan mishipa ya shingo inamtoka kabisa.