Kategele
JF-Expert Member
- Oct 7, 2017
- 960
- 2,220
Moja kwa moja kwenye mada kwa ufundishaji huu mnaotumia mtaendelea kuzalisha Wahandisi wasio na uwezo kwenye utendaji kazi.
Haiwezekani mwanafunzi anamaliza chuo kichwani ni mweupe yani ukimpa kazi za field anazidiwa na fundi mchundo ambaye hajaenda shule kabisa.
Ushauri wangu,
1.Mwaka wa kwanza na wa pili mwanafunzi asome theory tu.
2.Mwaka wa tatu vijana wajifunze kazi za usanifu(Design Works)
3.Mwaka wa nne vijana wakae site mwaka mzima wakifanya kazi kwa vitendo na kuandaa project za mwisho
Mfumo huu utazalisha wahandisi wenye uzoefu tofauti na sasa kijana anamaliza chuo hawezi kufanya kazi kwa vitendo.
Haiwezekani mwanafunzi anamaliza chuo kichwani ni mweupe yani ukimpa kazi za field anazidiwa na fundi mchundo ambaye hajaenda shule kabisa.
Ushauri wangu,
1.Mwaka wa kwanza na wa pili mwanafunzi asome theory tu.
2.Mwaka wa tatu vijana wajifunze kazi za usanifu(Design Works)
3.Mwaka wa nne vijana wakae site mwaka mzima wakifanya kazi kwa vitendo na kuandaa project za mwisho
Mfumo huu utazalisha wahandisi wenye uzoefu tofauti na sasa kijana anamaliza chuo hawezi kufanya kazi kwa vitendo.