feisalmollel
JF-Expert Member
- Aug 13, 2014
- 301
- 27
Hao wote hakuna rais hapo. Rais ni prof. Anna tibaijuka tu. Watanzania tunataka kiongozi na si mtawala. Prof. Anna tibaijuka anafaa kuwa rais ni chaguo? La wanyonge watanzania vijana wasomi na anaguswa na homa za watanzaniaHao ndio mmoja wapo atakuwa raisi.watanzania tusichanganywe na makundi ya watu wanao tajwa tajwa hiyo kutuzubaisha watanzania ili tushindwe kuwafuatilia udhaifu wao .
x.Dr.Slaa kutokana na kuwa bado na mvuto kwa watanzania kwani tayari anao mtaji wa kura wa 2,272,634 ambazo alizipata mwaka 2010 .Tofauti na wenzake ambapo kura za kikwete zitabakia kuwa za kikwete na wala hazitakuwa za Membe wala Lowasa .Wao itabidi watumie busara kushawishi wapiga kura.
Changamoto ambazo Slaa atakuta nazo kama atapita itambidi kuteua waziri mkuu toka wabunge wa ccm kwani kutokana katiba ya 1977 na hii mpya inayojadiliwa kuwa na vipengere vinavyo tamka kwamba waziri mkuu atachaguliwa kutoka chama chenye wabunge wengi ,psrq
Watanzania tuanze kuwapima hao mapema kama wanatosha au hawatoshi kwa kuangalia vigezo vya uadilifu,uwajibikaji na kuvumiliana.
Karibuni .
hivi kweli kuna watu wanaamini kuwa silaa anaweza kuwa rais, mimi ninadhani msipoteze mda wenu, rais lazima atoke ccm, bisha usibishe ukweli ndio, time will tell
Hao ndio mmoja wapo atakuwa raisi.watanzania tusichanganywe na makundi ya watu wanao tajwa tajwa hiyo kutuzubaisha watanzania ili tushindwe kuwafuatilia udhaifu wao .
x.Dr.Slaa kutokana na kuwa bado na mvuto kwa watanzania kwani tayari anao mtaji wa kura wa 2,272,634 ambazo alizipata mwaka 2010 .Tofauti na wenzake ambapo kura za kikwete zitabakia kuwa za kikwete na wala hazitakuwa za Membe wala Lowasa .Wao itabidi watumie busara kushawishi wapiga kura.
Changamoto ambazo Slaa atakuta nazo kama atapita itambidi kuteua waziri mkuu toka wabunge wa ccm kwani kutokana katiba ya 1977 na hii mpya inayojadiliwa kuwa na vipengere vinavyo tamka kwamba waziri mkuu atachaguliwa kutoka chama chenye wabunge wengi ,psrq
Watanzania tuanze kuwapima hao mapema kama wanatosha au hawatoshi kwa kuangalia vigezo vya uadilifu,uwajibikaji na kuvumiliana.
Karibuni .
Sio utabiri,ni maono. Hawa watatu ndio watakaokuwa Wagombea wa Urais wa Tanzania wenye nguvu 2015. Makwarukwaru ya kila aina yatapita vyamani mwao. Wao ndio watakaogombea. Ni hawa: 1. Dr. Wilbrod Peter Slaa- CHADEMA 2. Edward Ngoyai Lowassa-CCM 3. Prof. Ibrahim Haruna Lipumba-CUF. Ni vyema tukajielekeza kwao na kuandaa kura zetu za Oktoba 2015. Ndivyo itakavyokuwa...[/QUOTE
Hao wote hakuna hata mmoja. Watanzania kwa sasa wanamuhitaji rais makini mwenye uthubutu msomi zaidi na awe mwanamke kama Prof. Anna Kajumulo Tibaijuka]
Sio utabiri,ni maono. Hawa watatu ndio watakaokuwa Wagombea wa Urais wa Tanzania wenye nguvu 2015. Makwarukwaru ya kila aina yatapita vyamani mwao. Wao ndio watakaogombea. Ni hawa: 1. Dr. Wilbrod Peter Slaa- CHADEMA 2. Edward Ngoyai Lowassa-CCM 3. Prof. Ibrahim Haruna Lipumba-CUF. Ni vyema tukajielekeza kwao na kuandaa kura zetu za Oktoba 2015. Ndivyo itakavyokuwa...
Hao wote hakuna rais hapo. Rais ni prof. Anna tibaijuka tu. Watanzania tunataka kiongozi na si mtawala. Prof. Anna tibaijuka anafaa kuwa rais ni chaguo? La wanyonge watanzania vijana wasomi na anaguswa na homa za watanzania