Ramthods
JF-Expert Member
- Jun 2, 2009
- 515
- 186
Kama kuna kitu kinachonifanya nijiulize maswali mengi kichwani ni wagombea viti vya uraisi vyama vya upinzani. Toka mwaka 1995 wanaogombea ngazi ya uraisi wengi ni wale wale!
Hii inaleta picha gani? 2010 bado tutaona sura zile zile za 95 au tutakuwa na wagombea wapya?
Hii inaleta picha gani? 2010 bado tutaona sura zile zile za 95 au tutakuwa na wagombea wapya?