Kufatia malalamiko na clip za video zilizokuwa zinatembea mitandaoni nchi nzima siku ya Jana. Clip za video zilizokuwa zinaonyesha wakinamama wa wanaccm wa wilaya ya mkuranga. wakiomba Masada na kulalamikia kukamata Kura feki wilayani humo katika mchakato wa Uchaguzi wa udiwani viti maalumu
Pamoja na malalamiko hayo Wasimamizi wa Uchaguzi huo siku ya Jana waliendelea kusimamia Uchaguzi huo bila ya kujali malalamiko.
Hata kitendo cha kuzimwa umeme na kuwashwa kila muda eneo la kuhesabia kura
Wasimamizi wa Uchaguzi huo waliendelea kupuuza kelele za wanaccm wenzao kitendo kilichopelekea wanaccm hao wakose Imani na wasimamizi wa Uchaguzi huo
Asubuhi ya Leo matokeo yametangazwa ayafanani na idadi ya wapiga kura
Kwa mfano tarafa ya kisiju
Ilikuwa na idadi ya wapiga kura 2812 ila Kura zilizohesabiwa ni 3250
Malalamiko rasmi yamefika CCM makao mkuu Dodoma
Pamoja na malalamiko hayo Wasimamizi wa Uchaguzi huo siku ya Jana waliendelea kusimamia Uchaguzi huo bila ya kujali malalamiko.
Hata kitendo cha kuzimwa umeme na kuwashwa kila muda eneo la kuhesabia kura
Wasimamizi wa Uchaguzi huo waliendelea kupuuza kelele za wanaccm wenzao kitendo kilichopelekea wanaccm hao wakose Imani na wasimamizi wa Uchaguzi huo
Asubuhi ya Leo matokeo yametangazwa ayafanani na idadi ya wapiga kura
Kwa mfano tarafa ya kisiju
Ilikuwa na idadi ya wapiga kura 2812 ila Kura zilizohesabiwa ni 3250
Malalamiko rasmi yamefika CCM makao mkuu Dodoma