Wagombea majimbo ya Mbeya kutoka CHADEMA walikuwa Mdude na Sugu kwasababu yaligawanywa. Je kupotea kwake ni hujuma?

Wagombea majimbo ya Mbeya kutoka CHADEMA walikuwa Mdude na Sugu kwasababu yaligawanywa. Je kupotea kwake ni hujuma?

ubarinolutu

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
2,711
Reaction score
5,641
Jimbo la Mbeya Mjini ilifahamika toka awali kuwa litagawanywa kuwa majimbo mawili, ili kuhakikisha Mtu Fulani anashinda kati ya hayo majimbo mawili, kwasababu Sugu ana nguvu sana katika jiji la mbeya na anakubalika na vijana ambao wengi ndo wapiga kura, kama uchaguzi hautakuwa na uwizi basi jimbo la Mbeya ni La Sugu.

Kutokana na kufahamika kuwa jimbo litagawanywa basi vijana wengi wa mbeya waliomba mdude agombee jimbo moja na jingine agombee sugu, kwakuwa majimbo hayo ni kambi ya Chadema basi uhakika ni kuwa Mdude angeshinda jimbo moja , na sugu angeshinda jimbo jingine. "SASA MDUDE AMEPOTEA GHAFLA INAKUAJE HAPA"
 
yaaani chadema ni mburula kwelikweli yaani mdude awe mbunge? hasara chadema hamna viongozi mna viroja tu na sasahivi SUGU siyo chadema tena niambie umemsikia wapi anaongea mambo ya chadema? mdude kapotea wala hahangaiki halafu bado mnamuita chadema sugu kishawakimbia kaona mnampotezea muda tu wahuni wa chadema
 
1746797787101.jpg
 
yaaani chadema ni mburula kwelikweli yaani mdude awe mbunge? hasara chadema hamna viongozi mna viroja tu na sasahivi SUGU siyo chadema tena niambie umemsikia wapi anaongea mambo ya chadema? mdude kapotea wala hahangaiki halafu bado mnamuita chadema sugu kishawakimbia kaona mnampotezea muda tu wahuni wa chadema
haya ni matokeo ya shule za kata.
unaweza kumlinganisha mdude na JAH PEOPLE?
 
yaaani chadema ni mburula kwelikweli yaani mdude awe mbunge? hasara chadema hamna viongozi mna viroja tu na sasahivi SUGU siyo chadema tena niambie umemsikia wapi anaongea mambo ya chadema? mdude kapotea wala hahangaiki halafu bado mnamuita chadema sugu kishawakimbia kaona mnampotezea muda tu wahuni wa chadema
Hii haibadilishi kuwa waliomteka wanafahamika mpaka na familia zao.
 
T
Jimbo la Mbeya Mjini ilifahamika toka awali kuwa litagawanywa kuwa majimbo mawili, ili kuhakikisha Mtu Fulani anashinda kati ya hayo majimbo mawili, kwasababu Sugu ana nguvu sana katika jiji la mbeya na anakubalika na vijana ambao wengi ndo wapiga kura, kama uchaguzi hautakuwa na uwizi basi jimbo la Mbeya ni La Sugu.

Kutokana na kufahamika kuwa jimbo litagawanywa basi vijana wengi wa mbeya waliomba mdude agombee jimbo moja na jingine agombee sugu, kwakuwa majimbo hayo ni kambi ya Chadema basi uhakika ni kuwa Mdude angeshinda jimbo moja , na sugu angeshinda jimbo jingine. "SASA MDUDE AMEPOTEA GHAFLA INAKUAJE HAPA"
TULIA
 
yaaani chadema ni mburula kwelikweli yaani mdude awe mbunge? hasara chadema hamna viongozi mna viroja tu na sasahivi SUGU siyo chadema tena niambie umemsikia wapi anaongea mambo ya chadema? mdude kapotea wala hahangaiki halafu bado mnamuita chadema sugu kishawakimbia kaona mnampotezea muda tu wahuni wa chadema
Kama saa100 aliweza kuwa raisi mdude anashindwa nini
 
yaaani chadema ni mburula kwelikweli yaani mdude awe mbunge? hasara chadema hamna viongozi mna viroja tu na sasahivi SUGU siyo chadema tena niambie umemsikia wapi anaongea mambo ya chadema? mdude kapotea wala hahangaiki halafu bado mnamuita chadema sugu kishawakimbia kaona mnampotezea muda tu wahuni wa chadema
Babu tale na Mdude nani ana akili kumzidi mwenzake??
 
yaaani chadema ni mburula kwelikweli yaani mdude awe mbunge? hasara chadema hamna viongozi mna viroja tu na sasahivi SUGU siyo chadema tena niambie umemsikia wapi anaongea mambo ya chadema? mdude kapotea wala hahangaiki halafu bado mnamuita chadema sugu kishawakimbia kaona mnampotezea muda tu wahuni wa chadema
Ungeshangaa kwanza mtu kama Babu tale amewezaje kuwa mbunge
 
yaaani chadema ni mburula kwelikweli yaani mdude awe mbunge? hasara chadema hamna viongozi mna viroja tu na sasahivi SUGU siyo chadema tena niambie umemsikia wapi anaongea mambo ya chadema? mdude kapotea wala hahangaiki halafu bado mnamuita chadema sugu kishawakimbia kaona mnampotezea muda tu wahuni wa chadema
Hivi Sugu ana tofauti gani na Mdude? Majina tu. Wote wapo sawa. Kama Sugu alipewa na kwanini Mdude asipewe
 
Jimbo la Mbeya Mjini ilifahamika toka awali kuwa litagawanywa kuwa majimbo mawili, ili kuhakikisha Mtu Fulani anashinda kati ya hayo majimbo mawili, kwasababu Sugu ana nguvu sana katika jiji la mbeya na anakubalika na vijana ambao wengi ndo wapiga kura, kama uchaguzi hautakuwa na uwizi basi jimbo la Mbeya ni La Sugu.

Kutokana na kufahamika kuwa jimbo litagawanywa basi vijana wengi wa mbeya waliomba mdude agombee jimbo moja na jingine agombee sugu, kwakuwa majimbo hayo ni kambi ya Chadema basi uhakika ni kuwa Mdude angeshinda jimbo moja , na sugu angeshinda jimbo jingine. "SASA MDUDE AMEPOTEA GHAFLA INAKUAJE HAPA"
Gentleman,
hivi tukio la walinzi binafsi katili sana wa heche kutaka kumpoteza Sigrada Mligo pale Njombe ilikua ni agenda ya chadema kuzima sauti ya viongozi wanawake viongozi wenye nguvu ndani ya chadema au basi tu ubabe wa kindezi kama walivyomdhulumu kibao?🐒
 
yaaani chadema ni mburula kwelikweli yaani mdude awe mbunge? hasara chadema hamna viongozi mna viroja tu na sasahivi SUGU siyo chadema tena niambie umemsikia wapi anaongea mambo ya chadema? mdude kapotea wala hahangaiki halafu bado mnamuita chadema sugu kishawakimbia kaona mnampotezea muda tu wahuni wa chadema
Unasema nini wewe? Kwenye mkutano wa Reforms Sugu alikuwepo. G55 zaidi wapo Kaskazini kule Nyasa hakuna.
 
Back
Top Bottom