gsu
JF-Expert Member
- Apr 28, 2014
- 3,461
- 712
Du mamvi mbona anatoa dau dogo hivi?
mtoa mada mtu wa lowasa.
Du mamvi mbona anatoa dau dogo hivi?
Wakuu naona mnaendeleza siasa za kizushi mimi niko Lumumba sijakwenda Unguja wala Pemba na hao mnaowaita masalia ya chadema hakuna anaelipwa na Mwigulu posho wala mshahara acheni uzushi na siasa za maji taka.
Kwa mfano Dada Juliana Shonza yuko nyumbani kwao Mbozi Mlowo na harakati zake za kuutaka Ubunge wa viti maalum mkoa wa Mbeya.Acheni siasa nyepesi.
Yaani pamoja na mbwembwe zote zile Juliana anautaka Ubunge wa viti maalumu? kwanini asipambane huu wa kawaidaKwa mfano Dada Juliana Shonza yuko nyumbani kwao Mbozi Mlowo na harakati zake za kuutaka Ubunge wa viti maalum mkoa wa Mbeya.Acheni siasa nyepesi.
Naona Team Lowasa wanajitekenya kisha wanacheka Wenyewe.
lowasa mwanza alitoa kwa kila tawi la ccm milioni 2 wanaccm tugawiwe kila tawi.Lakini pesa zimeliwa na wachache sisi atukupewa.Watu walio karibu na lowasa wamwambia atuletee tena
Yaani pamoja na mbwembwe zote zile Juliana anautaka Ubunge wa viti maalumu? kwanini asipambane huu wa kawaida
haa haa ila lowasa umempunja sana mkuu. mbona huyu huwalipa wanaodhamini kiasi kikubwa cha pesa pia bodaboda wanaomshangilia hutumia pesa nyingi kuwalipa..
Kama kweli zilitolewa halafu wewe hukuambulia hata ndururu, inaonyeshwa u------ kwa kiasi gani. Halafu unakuja kujisifu uzoba humu! Kama umeweza kudhulumiwa mgao mpaka na wasukuma wachunga ng'ombe huko, je ukija Dar si watu watakukula ile kitu yenye utamu!
Mtoa mada ni TEAM LOWASSA.Anajaribu kutuonyesha kwamba fisadi Lowassa anatoa rushwa ndogo kuliko mafisadi wenzake na kwamba hatumii fedha nyingi kama wenzake. Kwa nini hakutaja private jet anayotumia na pesa wanazolipwa maelfu ya watu wa kumshangilia?