Mtoa mada ni TEAM LOWASSA.Anajaribu kutuonyesha kwamba fisadi Lowassa anatoa rushwa ndogo kuliko mafisadi wenzake na kwamba hatumii fedha nyingi kama wenzake. Kwa nini hakutaja private jet anayotumia na pesa wanazolipwa maelfu ya watu wa kumshangilia?
Mkuu uko makini sn ila wengu awajashutuka,amauonyesha fisadi kama ndo hatoi rushwa wakati ndo kinara wa kutoa rushwa nani hajui na kuwachafua wengine,TIME LOWASA MUNA PEPO NA POPE HILI LITAWATAFUNA NA FISADI WENU LOWASA, SHETANI MKUMBWA WEWE.