Wagigisi wa Mauaji

Wagigisi wa Mauaji

Labda kama uliingia kwenye siasa kimakosa au labda uko too naive kuifahamu siasa,aulabda unatafuta kick kwa vile umesahaulika muda mrefu kidogo, siasa ya mbele ya pazia si siasa za nyuma ya pazia, wote mko hivyo hivyo, wote mnayafanya hayo hayo tena dhidi ya wanachama ndani ya chama endapo mitazamo yao itakuwa na nguvu ya kupingana na wakubwa wa chama au nguvu yao itaonekana kuwazidi wamiliki wa chama. Acha unafiki, acha kutafuta sympathy,ukitaka kula bila kufanya kazikupitia siasa ujue pia utahitajika kuliwa kiasi fulani, hiyo ndio siasa, huwezi kula mpaka uliwe
CHAMA CHA MACHAFUKO KATIKA UBORA WAKE
 
Ndio hizo siasa za hao ccm mlizokua mnazijadili huko hivyo?
Punguza uoga kwenye mambo ya siasa, ukiwa tayari kutuma ujumbe wa kejeli uwe tayari kupokea ujumbe wa aina hiyo hiyo. Nimeshawahi kukusoma mara nyingi tu kwenye mitandao, punguza mihemko unapokuwa unataka kutuma ujumbe fulani wa kisiasa, tambua kwamba kuna opposite reaction utakayokutana nayo baada ya ulichokituma kuwa kimesomwa na public. Jenga tabia ya utulivu ukiwa unajishughulisha na masuala haswa ya hizi siasa za mitandaoni.
 
Punguza uoga kwenye mambo ya siasa, ukiwa tayari kutuma ujumbe wa kejeli uwe tayari kupokea ujumbe wa aina hiyo hiyo. Nimeshawahi kukusoma mara nyingi tu kwenye mitandao, punguza mihemko unapokuwa unataka kutuma ujumbe fulani wa kisiasa, tambua kwamba kuna opposite reaction utakayokutana nayo baada ya ulichokituma kuwa kimesomwa na public. Jenga tabia ya utulivu ukiwa unajishughulisha na masuala haswa ya hizi siasa za mitandaoni.
Wewe unaosoma huku unakurupuka ndio unakua na shida ya uwelewa pole sana punguza kukurupuka na kuwa na Mahaba yasiyokua na tija kwa kijani tunazungumzs uwalisia hapa
 
Wewe unaosoma huku unakurupuka ndio unakua na shida ya uwelewa pole sana punguza kukurupuka na kuwa na Mahaba yasiyokua na tija kwa kijani tunazungumzs uwalisia hapa
Ha ha ha, aina hiyo ya response yako ndio yanayofanya watu wakutishie maisha. Nenda shule ukajifunze utulivu unapokuwa kwenye maongezi ya kijamii, lako wewe wala sio tatizo linalotokana na ujumbe wako kwa jamii, bali ni tatizo dogo tu la kisaikolojia. Unapenda sana siasa pasipo kutambua kuwa hao wanasiasa hawana uhasama miongoni mwao, ni marafiki ambao hupeana mawazo ya kibiashara na kimaisha kila wanapokuwa faragha. Usidanganywe na siasa za nchi hii, utakuja kuumia moyo wako, siku ukiugundua ukweli wa maisha yenyewe ya kisiasa.
 
Ha ha ha, aina hiyo ya response yako ndio yanayofanya watu wakutishie maisha. Nenda shule ukajifunze utulivu unapokuwa kwenye maongezi ya kijamii, lako wewe wala sio tatizo linalotokana na ujumbe wako kwa jamii, bali ni tatizo dogo tu la kisaikolojia. Unapenda sana siasa pasipo kutambua kuwa hao wanasiasa hawana uhasama miongoni mwao, ni marafiki ambao hupeana mawazo ya kibiashara na kimaisha kila wanapokuwa faragha. Usidanganywe na siasa za nchi hii, utakuja kuumia moyo wako, siku ukiugundua ukweli wa maisha yenyewe ya kisiasa.
Sasa anaeendekeza siasa za chuki ni nani?
 
Wamesema "wataninyamazisha". Sasa sijui wanataka kuninyamazishaje. Kama Kamanda Mawazo au? mi sielewi.!

huenda wanataka kukunyamazisha kisiasa. kukuzidi kisiasa mpaka ukajikuta huna hoja kisiasa. chukulia dhana hiyo mkuu..
 
Wamesema "wataninyamazisha". Sasa sijui wanataka kuninyamazishaje. Kama Kamanda Mawazo au? mi sielewi.!

huenda wanataka kukunyamazisha kisiasa. kukuzidi kisiasa mpaka ukajikuta huna hoja kisiasa. chukulia dhana hiyo mkuu..
Lakini kunakunyamazishwa kwa namna nyingi sana
 
CHAMA CHA MACHAFUKO KATIKA UBORA WAKE

Nilifikiri najadiliana na mtu mwenye kujifahamu na kuifahamu siasa kumbe duh, hakuna hata mtu mmoja anazaliwa na chama,watu wanachojali ni interests zao tu na interests sio permaneant, ukisema wewe unasema hivi kwa sababu ni CCM au CDM unaharibu mjadala, yuko wapi Kingune, yuko wapi Padri, yuko wapi Esther Bulaya, orodha ni ndefu, ishu ni kuwa unapata nini na unataka kumuua au kumuumiza nani, hata wewe ikifika zamu yako kuumizwa utakimbia tu ukatafute usalama kwingine. Hebu rudi shule ukasome different school of thoughts kuhusu political philosophies, kama za akina Nicolo Machiavelli na wengineo wengi ujue unatakiwa ufanye nini katika situation gani uache kuleta utoto wako hapa na kulia lia kwa vile tu ulifikiri siasa ni mchezo kama 'kombolela'.
 
Niliwahi kusema huwezi kutenganisha uhalifu wanaofanyiwa wafuasi wa vyama vya upinzani na mkono wa wafuasi wa CCM. Mauaji ya kamanda Mawazo, Diwani wetu wa USA River Mhe.Msafiri Mbwambo) aliyeuawa kwa kukatwa kichwa, na viongozi wengine. Nyuma ya mauaji haya kuna mkono wa wafuasi wa CCM. Hata watuhumiwa wa kesi hizi ni wanachama wa CCM.

Ndani ya CCM kuna wagigisi wa mauaji. Wanateka, wanapiga, wanajeruhi na wakiweza kuua wanaua. Kwanini siasa zitufikishe hapa? kwanini siasa zitujengee uadui kiasi hiki?

Siasa ni sera, ni falsafa, ni dira na taswira juu ya maendleo ya nchi. Kama wewe unaamini ujamaa ndio utakaoleta maendeleo katika nchi, na mimi naamini tofauti kwanini unichukie? kwanini upange kunidhuru? Kwanini ukasirike?

Siasa za Afrika ni za ajabu sana. Eti mtu anakuchukia kwa sababu unakosoa serikali inayoongozwa na chama chake. Anashindwa kuelewa kuwa wapinzani hatukosoi kwa nia mbaya bali kuleta changamoto na kufanya serikali iwajibike zaidi. Ni wazi bila upinzani imara serikali itayumba.

Upinzani hutoa dira, taswira, mipango, malengo na vipaumbele vya taifa kama backup kwa serikali. Ndio maana chama tawala kikiona sera nzuri za upinzani huzichukua na kuzitekeleza. Mhe.Edward Lowassa alikiri kuwa sera ya ujenzi wa chuo kikuu Dodoma aliichukua kutoka CHADEMA. CCM hawakuwa na mpango huo. Lakini waliposoma ilani ya CHADEMA (2005 - 2010) waliona ni nzuri na inawafaa, wakaitekeleza. Leo hii maelfu ya watanzania wanagraduate UDOM kumbe ni matunda ya ilani ya CHADEMA. Hizi ndio siasa zenye tija.

Wote tunaijenga Tanzania kwanini tuchukiane? Lengo letu ni kuona Nchi inasonga mbele. Binafsi naamini CCM imeshindwa kutumia rasilimali tulizonazo kufanya taifa hili lisogee mbele kimaendeleo. Sisemi kuwa CCM haijafanya kitu, bali nasema waliyofanya hayaendani na rasilimali tulizonazo. Kiwango walichofanya kwa miaka zaidi ya 55 tangu Uhuru sio ilivyopaswa kuwa. Tulitakiwa kuwa mbali zaidi ya hapa. Huo ndio msimamo wangu na hakuna wa kunibadilisha.

Sasa wewe kama unaamini tofauti jenga hoja kunishawishi. Sio kutishana, wala sio kupanga mikakati ya kufanyiana ubaya. Huo ni ujinga wa kiwango cha PhD.

Nayasema haya kwa sababu kuna kikundi cha vijana wa CCM kinajiita "WAHAFIDHINA" kinapanga kunidhuru eti kisa nakosoa sana serikali yao. Nakosoa viongozi wao. Wamesema "wataninyamazisha". Sasa sijui wanataka kuninyamazishaje. Kama Kamanda Mawazo au? mi sielewi.!

Mmoja wa member wa kundi hilo aitwae "Mutalemwa" anasikitika eti kwanini "wanakufa watu wazima halafu Malisa anabaki".. Seriously?? Kwahiyo anataka kuniua.?

Cha ajabu ni kwamba group hili wapo viongozi wa CCM kitaifa, wapo Wabunge na Mawaziri wanaotokana na CCM lakini hawajaonesha hata nia ya kukemea huu upuuzi. Wanasubiri niuawe kisha watoe "Pole za kinafiki"

Mimi si member wa hilo kundi lakini nina watu humo wanaonitakia mema ambao wamenitumia hizi screenshot zinazoonesha mipango yao miovu. Zipo nyingi but nimeweka hizi chache hapa kama sample ili Watanzania muelewe aina ya vijana wa CCM na akili zao na ili nisivuruge ushahidi.

Tayari nimesharipoti suala hili Polisi na wahusika wanafuatiliwa. Nitatoa ushirikiano wa kutosha kwa Jeshi la Polisi ili kuhakikisha tunakomesha aina hii ya siasa za kishetani. Siasa za kuwaza kuua wengine kisa umepingana nao mawazo. Siasa za kutishana, siasa za kupanga kuumizana.

Pia napenda kuwahakikishia vijana hawa dhaifu wa CCM kuwa hamuwezi kunidhuru kwa vyovyote vile (hata kwa uchawi). MUNGU wangu ni mkubwa sana na ananilinda na watu waovu kama nyie. Mungu aliyenifahamu kabla ya kuwepo misingi ya Ulimwengu aliahidi hataacha mguu wangu uanguke wala kidole changu kijikwae.

Yeye akiwa upande wangu ni nani aliye juu yangu? Yeye aliye nuru yangu na wokovu wangu, nitamhofia nani? Shetani mwenyewe simhofii sembuse nyie vijana dhaifu wa CCM? Biblia inasema "watesi wako wanapokukaribia wataajikwaa na kuanguka mbele zako". (Zaburi 107:28-30, Zaburi 119:105 na Zaburi 27). Kama hamuamini jaribuni muone.

NOTE: Sijawahi kuogopa mwanadamua na sintokaa niogope mwanadamu. Mbinu zenu za kishetani zitashindwa na nimeomba Polisi wawashughulikie ipasavyo ili iwe fundisho kwa vijana wengine wahuni kama nyie.

Malisa GJ.!
RIP Chacha Wangwe!
 
Nilifikiri najadiliana na mtu mwenye kujifahamu na kuifahamu siasa kumbe duh, hakuna hata mtu mmoja anazaliwa na chama,watu wanachojali ni interests zao tu na interests sio permaneant, ukisema wewe unasema hivi kwa sababu ni CCM au CDM unaharibu mjadala, yuko wapi Kingune, yuko wapi Padri, yuko wapi Esther Bulaya, orodha ni ndefu, ishu ni kuwa unapata nini na unataka kumuua au kumuumiza nani, hata wewe ikifika zamu yako kuumizwa utakimbia tu ukatafute usalama kwingine. Hebu rudi shule ukasome different school of thoughts kuhusu political philosophies, kama za akina Nicolo Machiavelli na wengineo wengi ujue unatakiwa ufanye nini katika situation gani uache kuleta utoto wako hapa na kulia lia kwa vile tu ulifikiri siasa ni mchezo kama 'kombolela'.
Utoto upo wapi hapo?
 
Kwanza nakushangaa kusema uongo eti Lowassa ndo alijenga UDOM. Ni uongo mkubwa. Program ya Udom alianzisha Mkapa. Ni pamoja na kugeuza majengo ya Tanesco Morogoro kuwa Chuo kikuu cha Kiislamu. Pili unachekesha kama hao "Wahafidhina" hawakuwezi tena ni "dhaifu" kwa nini umeripoti polisi? Acha woga.
Wambie ukweli. Mageuzi ya elimu alianza Rais Mkapa hiyo ilikuwa ni mpango wa muda mrefu. Ilikuwa si rahisi vyuo vikuu vijengwe 2001 pale serikali ilipoongeza udahili shule za msingi kwa kufuta ada.
Ni wazi kuwa ongezeko hilo lilihitaji ongezeko la sekondari, na vyuo.
u
Utadanganya wasiofatilia historia ya nchi na matukio yake.
Maendeleo ya sayansi na teknolojia yanamchango katika matumizi ya rasilimali. Dhahabu, tanzanite, ges ilikuwapo tangu dahali lakini teknolojia yetu haikuwa wezeshi.
Pia kwa miaka mingi siasa ya dunia haikuwa imetulia kwa vita baridi hivyo uwekezaji kuwa mgumu. Pia utaifishaji mali 1967 uliathiri uwekezaji na hii ari ilikuwa ya watanzania wote.
Hivyo ni ujinga na usariti kulaumu watu fulani kuwa ndio wametukwamisha. Tutumie elimu yetu vizuri kwa kuinua ari ya Watanzania kufanya kazi na kukubari kuwa juhudi zao zinazaa matunda
 
Back
Top Bottom