Pole sana Mkuu. Mtoto wa shemeji yangu kaja kukaa kwangu ili asome. Eti naye akajifanya "mwenye nyumba". Hanisalimii asubuhi wala mchana wala jioni. Siku moja anarudi toka shule alikuta vitu vyake vipo barabarani. Akapitilizia huko huko. Ila wewe wavumilie tu.
Mimi ni mimi hua siwezagi kuvumilia ujinga eti kisa wageni watanionaje huyo dogo ninge mtwanga banzi ange tii amri kama mmbwa mkorofi anapo kutana na nondo ya kichwa