Wageni wengine bwana du!

hao kabila gani. Ila na wewe ni Bushoke, utatesaje watoto wako kwa ajili ya mashemeji? Jiangalie. Waambie waje kwangu waone asubuhi wanaondoka.
 
Waliondoka nashukuru ila kwa kweli sikuwasindikiza hata. Kuna mmoja juzi eti anatakarudi nimuajili kwenye salon yangu nmegoma.
 
Mimi ni mimi hua siwezagi kuvumilia ujinga eti kisa wageni watanionaje huyo dogo ninge mtwanga banzi ange tii amri kama mmbwa mkorofi anapo kutana na nondo ya kichwa
Wengine tukipiga mtu anaweza zimia.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…