Wageni wanavyopata ajira za Watanzania

Mkuu nssf hata wewe ungeweza management maana hakuna production cost pale ni kucollect pesa tuu toka kwa waajiri na ku invest basi.
nimekuuliza dau ni mwizi ama la? hiyo production cost umeitoa wapi? au nssf hapawezi ibika?
 
nimekuuliza dau ni mwizi ama la? hiyo production cost umeitoa wapi? au nssf hapawezi ibika?

Kwa taarifa yako hakuna taasisi inayoibiwa na dot com sasa hivi kama NSSF muda sii mrefu utasikia
 
hoteli nyingi za kitalii zina mameneja wa Kenya! au wageni wanapata nafasi kwasababu sisi wazawa sio waaminifu?
 
If we want to get rid of expatriates in this country, most of whom are doing work which any Tanzanian would have done, i would appeal to the Government to increase the permit fees by 3-4 times the current rate so that all these "racist and selfish" bosses who think Tanzanians as LAZY, CHEATS AND THIEVES will then learn a lesson and start respecting the Local labour force.
Without this action mentioned, we shall continue seeing the influx of expatriates because corruption has rotten all the departments that handle the permit issue.
The price increment shall automatically cause the decrease of flow
 
Jamani Haswa wahindi,Wazungu,etc ndio mafasi zote wanashikilia wao,mishahara mizuri wanalipana wao kwanini?ina maana hatupendanii sisi?
 
Kuna meli wao wanaita utafiti moja ina crew 800 na ina almost kila kitu humo hospitali mpk na facility nyingine. Ajabu hakuna Mtanzania hata mmoja humo na wanabadilishwa kila mwezi hiyo meli inaitwa Discoverer Americas. Ipo chini ya Kampuni ya Statoil ina supporting vessels nyingine ndogo kwa aajili ya kuleta mahitaji ndio zinaenda pwani hasa Mtwara na kurudi huko sea. Pia inameli zingine 3 za kuilinda hilo kubwa linalochimba ajabu katika hizo ndogo ndio kuna walinzi wa kibongo tena wa mwisho. Hata wanajeshi wapo kwenye hizo meli za ulinzi lkn wanapangiwa wazungu na kutumwa kama watoto ni aibu kwa kweli. Crew wengine ni Wasouth Africa na Wakenya na Warusi. Walinzi ni Waingereza na wanamaji wachache wa Tz. Lkn nao hawaruhusiwi kupiga picha au kulisogelea meli hilo. Je tutafika?

Halafu chuo cha ubaharia kipo bongo,hata hao wakenya wanasoma hapa Tz kozi za kibaharia
 
kuna kampuni nyingi za wahindi zinawafanyakazi wa kigeni ambao wamepewa top position na wazawa wenye sifa sawa wamewekwa chini kwa kigezo cha experience na ili waendelee kusavive wana sitisha mikataba ya wafanyakazi ambao ni bachelor degree graduates na kubaki na watz wenye diploma tu ili waendelee kuwa top.nakumbuka kuna siku naibu waziri alitembelea kiwanda fulani hapa dar basi siku hiyo wahindi 90% walifichwa na kubaki wazawa ili kumdanganya naibu waziri nachoshauri kuwe na ukaguzi wa mara kwa mara unaofanywa na maofisa wa kazi katika maeneo husika kiufupi watanzania wengi wanaishi kama watumwa ndani ya nchi yao japo kuwa wamesoma na nchi ni huru.
 
Kama tunataka tupunguze kuwapo kwa wageni nchini, wengi wao amabo wanafanya kazi ambazo watanzania wanaweza kuzifanya basi itabidi wabunge wetu waihimize serekali kupandisha mara 4 au hata 5 ada ya permit za wageni yaani "work permits fee"!!
Tunakubali wote kwamba rushwa imekithiri nchini mwetu na hakuna namna ya kupunguza idadi ya wageni bali na kuongeza hizo ada.
Hii itasababisha makampuni sasa kuajiri watanzania na kuwalipa mishahara na marupurupu mazuri.
WABUNGE WASAIDIENI WATANZANIA AU UMASKINI UTATUMALIZA
 
Back
Top Bottom