Barubaru
JF-Expert Member
- Apr 6, 2009
- 7,161
- 2,323
Hakika nimesoma katika magazeti ya huko Tanzania yanabainisha kuwa BEI ya Kikombe cha Babu (Mchungaji Mwasapila) wa huko Samunge Loliondo kimepandishwa bei kwa wageni lakini wazawa bai ile ile TSh 500.
Kuanzia sasa Kila Mgeni ambaye sio raia wa Tanzania inampasa kulipa shilingi TSh 1500 au (Dola za Amerika moja).
Sasa suala langu hapa. Tunajuwa fika kuwa mchungaji huyu alishukiwa na maono ya kuonyeshwa dawa na kuamrishwa na aliyemuotesha atoze kwa kila mgonjwa TSh 500 bila kujali rangi, kabila au utaifa wake.
Sasa huku kuwatoza wageni zaidi ameoteshwa pia?
Kuanzia sasa Kila Mgeni ambaye sio raia wa Tanzania inampasa kulipa shilingi TSh 1500 au (Dola za Amerika moja).
Sasa suala langu hapa. Tunajuwa fika kuwa mchungaji huyu alishukiwa na maono ya kuonyeshwa dawa na kuamrishwa na aliyemuotesha atoze kwa kila mgonjwa TSh 500 bila kujali rangi, kabila au utaifa wake.
Sasa huku kuwatoza wageni zaidi ameoteshwa pia?