Waganga wajaa Dodoma

Waganga wajaa Dodoma

Hute

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
6,537
Reaction score
6,479
Kwa taarifa toka mdau aliyepo Dom leo, inasemekana waganga wa jadi, wale waua albino wamejaa Dodoma. Kwa style hii kweli ndugu zetu albino wataacha kuuawa kweli? Mungu iokoe Tanzania. Nchi ikiongozwa na wachawi, usalama wetu uko wapi?
 
wewe una ugomvi na ccm tu
 
Kweli mnamwogopa EL.
Karibia mnanyea chupi zenu. Mbona hamuongelei wengine?
Kuna nini kw huyu mzee?
Sasa akipita si mtajinyonga wengi?
 
Wanakuja kumsalimia kiongozi wao mkuu Kingunge
 
kwa taarifa toka mdau aliyepo dom leo, inasemekana waganga wa jadi, wale waua albino wamejaa dodoma. kwa style hii kweli ndugu zetu albino wataacha kuuawa kweli? Mungu iokoe Tanzania. nchi ikiongozwa na wachawi, usalama wetu uko wapi?

Wanaenda kumsalimia JK maana ana mjini yanamlinda alipewa na sheikh yahaya
 
Lazima watakuwa wametega mihela ya mnunuzi maarufu wa urais fisadi lowasa
 
Kingune ndio bosi wao. Nashangaa kwa nini albino hawajamvaa awape siri
 
Back
Top Bottom