Wafungwa wataja vigogo dawa za kulevya

Wafungwa wataja vigogo dawa za kulevya

Hii taarifa sijajua kamishna kama anakusudia kuwatisha wahusika au ndo yuko serious na majina anayo kwa ajili ya uchunguzi....!

Lakini je, angeendelea na uchunguzi bila kukutana na vyombo vya habari angepungukiwa nini..? Kwa sababu ni anawa alert wahusika ili wakae mbali na aina yoyote ya ushahidi.

Sent using Jamii Forums mobile app

Nimemshangaa pia. Na chanzo chake cha info... Ningekuww kamishna ningefanya operation kimya kimya mwanzo - mwisho


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom