Kuna habari nimeisoma kwenye wall ya facebook ya waziri kivuli wa wizara ya ndani mh John mnyika kuwa serikali imeficha kuwepo kwa mgomo wa kula kwa siku tatu kwa wafungwa
nawasilisha
asanteni.
katika matembezi yangu mitandaoni, nikakwama kwenye usokitabu wa Mh. John Mnyika, nikakutana na Taarifa hii.
John Mnyika Nimepata taarifa toka gerezani kuwa kuna wafungwa wamegoma kula tangu juzi lakini serikali inaficha
.John Mnyika Waliondolewa toka gereza la Ukonga; sasa wako gereza la Maweni Tanga. Condemns
Nimemjulisha Waziri kivuli wa Mambo Ndani aingilie kati kuepusha vifo
sasas najiuliza kwanini Serikali/Magereza wanakuwa kimya juu ya hili, au wanataka watu wafe kwanza ndio waanze kutuomba radhi ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.