Mamndenyi Platinum Member Joined Apr 11, 2011 Posts 44,689 Reaction score 64,709 Feb 18, 2015 #21 Ukitaka ufe siku za karibu karibu sana na mkeo/mumeo ni kula amini tu, hayo mengine ni mbwembwe tu.
ladyfurahia JF-Expert Member Joined May 10, 2011 Posts 14,758 Reaction score 9,592 Feb 18, 2015 #22 kweli duniani kuna vijimambo na vituko vya aina yake mweeeee
SHIEKA JF-Expert Member Joined Dec 20, 2011 Posts 8,240 Reaction score 4,278 Feb 18, 2015 #23 mikatabafeki said: ​hadi kifo kitakapotutenganisha,lols Click to expand... mikatabafeki,kufunga ndoa kwenye jeneza= hadi kifo kitakapotuweka pamoja! Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
mikatabafeki said: ​hadi kifo kitakapotutenganisha,lols Click to expand... mikatabafeki,kufunga ndoa kwenye jeneza= hadi kifo kitakapotuweka pamoja!
mxsdk JF-Expert Member Joined Aug 11, 2014 Posts 3,585 Reaction score 2,056 Feb 18, 2015 #24 kumbe bangkok thailand?hakuna cha ajabu au chakushangaza.
kabanga Platinum Member Joined Dec 12, 2011 Posts 37,580 Reaction score 18,952 Feb 18, 2015 #25 kweli kila mtu ana akili zake.......
HARUFU Platinum Member Joined Jan 21, 2014 Posts 31,703 Reaction score 48,143 Feb 18, 2015 #26 Watu utulivu zero, kweli wamevurugwa
Apologise lady JF-Expert Member Joined Sep 16, 2013 Posts 5,980 Reaction score 3,115 Feb 18, 2015 #27 Mmmh!!
Money Stunna JF-Expert Member Joined Aug 9, 2011 Posts 13,053 Reaction score 6,333 Feb 19, 2015 #28 Mamndenyi said: Ukitaka ufe siku za karibu karibu sana na mkeo/mumeo ni kula amini tu, hayo mengine ni mbwembwe tu. Click to expand... sijakuelewa mkuu
Mamndenyi said: Ukitaka ufe siku za karibu karibu sana na mkeo/mumeo ni kula amini tu, hayo mengine ni mbwembwe tu. Click to expand... sijakuelewa mkuu
Mamndenyi Platinum Member Joined Apr 11, 2011 Posts 44,689 Reaction score 64,709 Feb 20, 2015 #29 Watu wazima kama Asprin na kuendelea wanaweza kukufafanulia kuhusu kula amini. Money Stunna said: sijakuelewa mkuu Click to expand... Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Watu wazima kama Asprin na kuendelea wanaweza kukufafanulia kuhusu kula amini. Money Stunna said: sijakuelewa mkuu Click to expand...
L Lolipop JF-Expert Member Joined Oct 30, 2013 Posts 349 Reaction score 81 Feb 20, 2015 #30 Pia watakufa siku moja na kuzikwa kwenye jeneza moja