Wafuatao wako wapi?

Wafuatao wako wapi?

Ningependa kujua wafuatao walikuwa watumishi wa umma wako wapi
1.Alikuwa kamishna TRA makontena ya bandari yakamtoa kwenye system
2. Edward Hosea takukuru
3.Felix wa Ewura
4.Engineer wa tanesco alikuwa mkurugenzi jina limenitoka
5.Aliyekuwa anatangaza watu kutumbuliwa pale ikulu naye yakamkuta
6.Sospeter Mhongo
7.Simbachawene
8.Masamaki wa TRA bandari
9.Magesa mlongo
10.Abas kandoro
Ukiona hujui walipo fahamu kuwa HAWAKUHUSU.
 
Back
Top Bottom