Suala la katiba mpya si kati ya chama tawala na vyama vya upinzani bali washika dau wakubwa ni Serikali ya Muungano na Serikali ya Mapinduzi Zanzbar. Waziri Chikawe na Wabunge wa ccm wanafanya kosa kudhani ni suala la wao na wapinzani. Ilikuwa lazima kushughulikia suala lolote linaloigusa Zanzbar badala ya kulitengenezea mizengwe!
Kipi kinakuchanganya Mkuu? Mimi ni Kamanda wa Cdm! Kama tunadanganywa katika swala la katiba tena bungeni vipi kuhusu maswala ya Fedha? Asante sana Waziri Bakari kwa kuzidi kututhibitishia kua Ccm inacheza Rafu katika huu mchakato wa katiba!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.