Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, akiongea na Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda, Waziri wa Sheria na Katiba Mhe Celina Kombani, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mhe Steven Wassira, Naibu Waziri wa Kilimo Mhe Adama Malima na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Said Meck Sadiki katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere baada ya kurejea nchini leo Jumanne Oktoba 10, 2012 akitokea katika ziara ya Kikazi ya Marekani na Ziara Rasmi ya Kiserikali ya Canada.
"MSISUSIE VITAMBULISHO VYA MTANZANIA" Katibu Mkuu wa CUF Maalim Seif Sharif Hamad akizungumza katika hafla ya ufunguzi wa tawi la Chama hicho jimbo la Magogoni Wilaya ya Magharibi Unguja.
ALI AMEIR MOHAMMED AKITOA NENO LA SHUKRANI KATIKA UFUNGUZI WA MKUTANO MKUU WA UCHAGUZI WA WILAYA YA KASKAZINI B. HEKAHEKA ZA UCHAGUZI VIJANA WAWEKWA PEMBENI NA CHAMA LICHA YA KUAHIDI KUWAPA NAFASI
Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiendesha kikao cha Kamati Kuu ya CCM, mjini Dodoma leo. Kushoto ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohammed Sheni na Kulia ni Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Pius Msekwa na Katibu Mkuu wa CCM, Wilson Mukama. Khatima ya viongozi wenu wa Zanzibar mtaipata tu