BIN BOR
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 1,013
- 407
Waziri wa vijana wa serikali ya Gbagbo isiyotambuliwa kimataifa, ametoa mwito wa kuishambulia ngome ya Quattara hapo kesho. Hili likitekelezwa, naamini vita mpya itatokea na huenda Quattara akadhurika au hata kuuwawa. Tayari Ban Ki ametoa tahadhari na kujipanga kwa ulinzi. Sasa ni dhahiri hali sio shwari kule.
SOURCE
BBC News - Ivory Coast: UN warns attack 'could reignite' civil war
SOURCE
BBC News - Ivory Coast: UN warns attack 'could reignite' civil war