Wafuasi wa CHADEMA wana maslahi gani na chaguzi nje ya Tanzania?

Ujinga mtupu.
Wewe una maslahi gani a uchaguzi wa Marekani?
Kila siku macho kodo CNN!
 
Tulikuwa na maslahi gani wakati Kaburu anatawala South africa?????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…