Wafuasi wa CHADEMA matusi hayatawasaidia, si sehemu ya maadili ya Mtanzania

Wafuasi wa CHADEMA matusi hayatawasaidia, si sehemu ya maadili ya Mtanzania

Kimbesa11

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2015
Posts
4,652
Reaction score
2,696
CHADEMA kimetawaliwa na wafuasi waliojaa matusi ndo wanaongoza chama mitandaoni akina Mange Kimambi, Sativa, Tito Magoti, Martin na wengine.

Huwa najiuliza hivi matusi ni mkakati wa CHADEMA?

Matusi yamekifanya chama kionekane ni chama Cha ovyo chama Cha wahuni wahuni tupu, imekuwa ni aibu hata watu kujinasibu kuwa ni wafuasi wa chadema.

CHADEMA Mnakela sana
 
Chama Cha chadema kimetawaliwa na wafuasi waliojaa matusi ndo wanaongoza chama mitandaoni akina mange kimambi akina sativa akina Tito magoti akina martin na wengine.
Huwa najiuliza hivi matusi ni mkakati wa chadema?
Matusi yamekifanya chama kionekane ni chama Cha hovyo chama Cha wahuni wahuni tupu, imekuwa ni aibu hata watu kujinasibu kuwa ni wafuasi wa chadema.
CHADEMA Mnakela sana
 
Chama Cha chadema kimetawaliwa na wafuasi waliojaa matusi ndo wanaongoza chama mitandaoni akina mange kimambi akina sativa akina Tito magoti akina martin na wengine.
Huwa najiuliza hivi matusi ni mkakati wa chadema?
Matusi yamekifanya chama kionekane ni chama Cha hovyo chama Cha wahuni wahuni tupu, imekuwa ni aibu hata watu kujinasibu kuwa ni wafuasi wa chadema.
CHADEMA Mnakela sana
We Mzee, No Reforms No Election ni matusi ki kwenu??
 
Chama Cha chadema kimetawaliwa na wafuasi waliojaa matusi ndo wanaongoza chama mitandaoni akina mange kimambi akina sativa akina Tito magoti akina martin na wengine.
Huwa najiuliza hivi matusi ni mkakati wa chadema?
Matusi yamekifanya chama kionekane ni chama Cha hovyo chama Cha wahuni wahuni tupu, imekuwa ni aibu hata watu kujinasibu kuwa ni wafuasi wa chadema.
CHADEMA Mnakela sana
nadhani hua wanakua trained BAVICHA, maana for sure huyaporomosha matusi mazito mazito tena kwa mpangilio kweli kweli huku viongozi wao wakuu waropokaji wakifurahia hali hiyo 🐒
 
"Wafuasi wa Chadema matusi hayatowasaidia"
5678901.jpg
 
Chama Cha chadema kimetawaliwa na wafuasi waliojaa matusi ndo wanaongoza chama mitandaoni akina mange kimambi akina sativa akina Tito magoti akina martin na wengine.
Huwa najiuliza hivi matusi ni mkakati wa chadema?
Matusi yamekifanya chama kionekane ni chama Cha hovyo chama Cha wahuni wahuni tupu, imekuwa ni aibu hata watu kujinasibu kuwa ni wafuasi wa chadema.
CHADEMA Mnakela sana
WAFUASI WA CCM TUACHE KUWA NA KIBURI KUHISI KWAMBA HII NCHI NINYETU PEKE YETUUU NA KUCHONGANISHA VYAMA VINGINE TUKIRINGA NA TISS NA POLISI HUO SIO SULUHU YA KUDUMU
 
Chama Cha chadema kimetawaliwa na wafuasi waliojaa matusi ndo wanaongoza chama mitandaoni akina mange kimambi akina sativa akina Tito magoti akina martin na wengine.
Huwa najiuliza hivi matusi ni mkakati wa chadema?
Matusi yamekifanya chama kionekane ni chama Cha hovyo chama Cha wahuni wahuni tupu, imekuwa ni aibu hata watu kujinasibu kuwa ni wafuasi wa chadema.
CHADEMA Mnakela sana
Ila kuteka na kuua ndo asili ya Mtanzania?
 
WAFUASI WA CCM TUACHE KUWA NA KIBURI KUHISI KWAMBA HII NCHI NINYETU PEKE YETUUU NA KUCHONGANISHA VYAMA VINGINE TUKIRINGA NA TISS NA POLISI HUO SIO SULUHU YA KUDUMU
Matusi yameiharibu chadema mpaka ni ngumu hata mtu mwenye akili zake kujiita mfuasi wa chadema
 
Chama Cha chadema kimetawaliwa na wafuasi waliojaa matusi ndo wanaongoza chama mitandaoni akina mange kimambi akina sativa akina Tito magoti akina martin na wengine.
Huwa najiuliza hivi matusi ni mkakati wa chadema?
Matusi yamekifanya chama kionekane ni chama Cha hovyo chama Cha wahuni wahuni tupu, imekuwa ni aibu hata watu kujinasibu kuwa ni wafuasi wa chadema.
CHADEMA Mnakela sana
Kenge wa ndani.....
 
Chama Cha chadema kimetawaliwa na wafuasi waliojaa matusi ndo wanaongoza chama mitandaoni akina mange kimambi akina sativa akina Tito magoti akina martin na wengine.
Huwa najiuliza hivi matusi ni mkakati wa chadema?
Matusi yamekifanya chama kionekane ni chama Cha hovyo chama Cha wahuni wahuni tupu, imekuwa ni aibu hata watu kujinasibu kuwa ni wafuasi wa chadema.
CHADEMA Mnakela sana

Mauaji vipi ni maadili. Utekaji ni maadili ya CCM mbona Gwajima anapata shida kukemea kwa mfano
 
Back
Top Bottom