GE2025 Wafuasi wa Chadema hawajui wanapoelekea

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Mimi sio chadema Tatizo machawa ni kujiona nyie ni CCM damu kuzidi hapo ndo mnakwaza watu wakati nyie mko kimaslai mpata vipesa vya mboga nyumbani Wewe huwezi kua Christian than Roman au kua muislam kuwazidi wale wa Madina
 
Bora chaumma wanajiimarisha siku hadi siku
 
Wapo waliohoji ndani ya chama chao juu ya wanazuiaje uchaguzi? Kwa mikakati ipi? Hawakuweza kusema zaidi ya kupayuka tu kuwa hakuna uchaguzi mwaka huu.

Sasa INEC imetangaza tarehe ya uchaguzi mkuu jana lakini badala ya kusikia kauli zao za kishujaa za kuzuia uchaguzi kunasikia milio tu ya akina Lema. Kwani mnalalamika imekuwaje hamzuii uchaguzi tena? Mimi nilidhani ili uchaguzi muuzuie ilikuwa lazima kwanza INEC itangaze kuwepo kwa uchaguzi ambao sasa mtauzuia au?
 
UFIPA tarehe ya uchaguzi ni 29.10.2025 mnazuia uchaguzi 🤣🤣
Ndiyo wapi huko.
Na wewe najuwa ni mzoga tu; mtindo wenu ni ule ule, kwa hiyo wote ni kuwachukulia kama mlivyo.
 
Wewe unajua mamako anapotupekeka?
 
Ufupa Walijipa umuhimu wa kuamua jinsi ya kufikiri kwa watu,kuwaza kwao, kumuunga mkono nani na kwa nini! Yaani CHADEMA hawa waliokuwa wanamuimba Lowassa ni fisadi kwa miaka zaidi ya kumi waligeuka na kusema ni mtu safi sana mwaka 2015 na kuwataka watanzania na nyumbu wao wampigie kura!Na kwa kweli walifanikiwa kwa kiasi kikubwa sana kwenye hilo na waliweza kushika akili nyumbu wengi sana.
 
Hakuna uchaguzi ndio , labda kuna kujiteua🤔
 
Ungejukita ndiyo nini?

Vipi utaingia barabarani kuzuia uchaguzi.

Hamna tena No reforms no election😀

Hali mbaya sana huko Gaza. Kuwacha kuwapigania wale ndugu zetu na kuja huku ambako wenye vita vyao hawajakuomba hata mawazo hudhani matumizi mabaya kabisa ya muda?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…