Malaika Mkuu
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 902
- 909
😳CHADEMA😳
Nimeshtuka kuskia magufuli anatekeleza ilani na hoja za ukawa.
Kwasasa rais anashughurika sana na ufisadi na ubadilifu najiuliza niwapi mgombea wa ukawa lowassa alijipambanua anachukia mambo haya?
Kwa dakika 8 alizokua akiongea na hoja za babu seya, bodaboda na mamantilie leo wanasema magufuli anatekeleza hoja zao shame on u UKAWA.
Mabadiliko ndio haya sio yale yakuzungusha mikono.
Mnampinga Magufuli na kususia matokeo hotuba yake alafu saizi alafu mnajikomba kwamba anatekeleza hoja zenu Zipi?
Lini mlimkabidhi magufuli ilani yenu mlioiweka kwenye website badala ya kuigawa na kuinadi kwa watanzania shame on u ukawa.
Mpaka sasa wananchi wameishagundu siasa za ulaghai utapeli mnasema leo mtu huyu ni fisadi kesho mnasema msafi kisa amawewahonga billion ns.
Kashifa ya Stanbic wanaotajwa kuhusika ndio waliokua wanawafadhili kwenye campeni begabega mlitaka kugawana nchi hii lakini Mungu amemleta rais wa watanzania.
Ama kweli choo kimehamia chumbani sasa mnanuka shombo ya ufisadi na wizi.
M4C Magufuli for change.
Tulieni ivoivo dawa iwaingie.
Nimeshtuka kuskia magufuli anatekeleza ilani na hoja za ukawa.
Kwasasa rais anashughurika sana na ufisadi na ubadilifu najiuliza niwapi mgombea wa ukawa lowassa alijipambanua anachukia mambo haya?
Kwa dakika 8 alizokua akiongea na hoja za babu seya, bodaboda na mamantilie leo wanasema magufuli anatekeleza hoja zao shame on u UKAWA.
Mabadiliko ndio haya sio yale yakuzungusha mikono.
Mnampinga Magufuli na kususia matokeo hotuba yake alafu saizi alafu mnajikomba kwamba anatekeleza hoja zenu Zipi?
Lini mlimkabidhi magufuli ilani yenu mlioiweka kwenye website badala ya kuigawa na kuinadi kwa watanzania shame on u ukawa.
Mpaka sasa wananchi wameishagundu siasa za ulaghai utapeli mnasema leo mtu huyu ni fisadi kesho mnasema msafi kisa amawewahonga billion ns.
Kashifa ya Stanbic wanaotajwa kuhusika ndio waliokua wanawafadhili kwenye campeni begabega mlitaka kugawana nchi hii lakini Mungu amemleta rais wa watanzania.
Ama kweli choo kimehamia chumbani sasa mnanuka shombo ya ufisadi na wizi.
M4C Magufuli for change.
Tulieni ivoivo dawa iwaingie.